Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Umepakwa mafuta ukiwa umevaa boxer haya bwana ....😀
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
The story has so many holes....patch it up....
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
The story has so many holes....patch it up....
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Umetangaza vzur biashara yako, subir waje pm
 
Mpaka wanafanikiwa kukupaka mafuta, maana yake waliipalaza palaza sana.

Wanaume watano ndani ya chumba, umewacholopokaje?
Hahahahhahah eti walipalaza palaza dah npo msibani ila nmecheka sana
 
Umeanza mwaka na kupakwa mafuta tegemea mengi msimu huu dogo
 
Back
Top Bottom