Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Wakati unapakwa mafuta, si jamaa walikuwa wanaingiza mikono hadi kwenye 0713 Ili ilainike Ili iwe rahisi kupakulika achaana na wake za watu boya ww
 
Kwamba wamba wajiloweke kwenye makimba ukakimbia na utelezi wao
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa


Usirudie tena hutachomoka
 
Wamefanya makosa ya kiufundi sana hawa jamaa. Ilitakiwa kwanza wakuhasi kwa kukubinya pumb* afu badae ndio wakupake mafuta kukupelekea moto.
 
Itakuwa walikupaka hayo mafuta usoni ndo maana ulichoropoka.
 
Hahahaha duh kwahyo walishakupaka na mafuta pakawa laini hahahaha sipati picha aiseee
 
Wengi huwa hamkubali kama mlipigwa mambo, eti ushapakwa mafuta alafu uchomoke na boksa?? Wakati kadiri unavyoresist ndo inavyoingia mdo mdo ...ndo ukome
 
Haiingii akilini, mtu tano unakimbiaje afu mafuta ulipakwa kabla ya kuvuliwa boksa au baada?
Sema mke wa mtu sumu.
 
Back
Top Bottom