To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Bas mjinga mmojawapo ndo mie mkuuni mjinga pekee anaweza kukubali hayo maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas mjinga mmojawapo ndo mie mkuuni mjinga pekee anaweza kukubali hayo maelezo
🤣🤣🤣🤣umeamua kuukubali unyonge siyo???Bas mjinga mmojawapo ndo mie mkuu
Nasimamia niaminicho mkuu...🤣🤣🤣🤣umeamua kuukubali unyonge siyo???
Jinga Sana hilo 🤣🤣🤣Story ya kijinga ila nimecheka balaa 🤣🤣🤣
Ahsante kwa kunipunguzia mawazo kwa huu ujinga wako 🤣🤣
Halafu kaandika kwa furaha eti alipakwa mafuta ya kula na watu watano, kisha akakimbia 😂😂😂😂 kwamba aliteleza kama kambale, nimecheka kwakweliJinga Sana hilo 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda kama walikupaka mafuta mwili mzima wakawa kila wanapokushika unateleza kama kambale mzee mwishoe ukakimbia.
anazingua aisee ..kwamba hawakufunga mlangoMpaka wanafanikiwa kukupaka mafuta, maana yake waliipalaza palaza sana.
Wanaume watano ndani ya chumba, umewacholopokaje?
[emoji23][emoji23]Kuipatch up maana yake aaibike. Sidhani kama atakubali[emoji23]
Limekaa kama tangazo fulani la biasharaInaumiza sana kuona vijana wanajirahisisha kwa visingizio ili mabazazi wawatambue.
Mungu awasaidie sana watoto wangu na uzao wao
Mhhhh sawaYani upakwe wese halafu uchoropokaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wengi huwa hamkubali kama mlipigwa mambo, eti ushapakwa mafuta alafu uchomoke na boksa?? Wakati kadiri unavyoresist ndo inavyoingia mdo mdo ...ndo ukome