Mnamchukia nyie wabaguzi wa dini msiojitambua 😎 mazuzu ya jiwePamoja na hilo ila pia serikali ya Dkt Kikwete ilifanya mambo mengi mabaya na kila tuhuma zilikuwa na ukweli. Tofauti na serikali ya Rais Samia kwa sasa inflation ni zaidi ya 100%, ambayo imejitambulisha ni serikali ya Dkt Kikwete na ndiyo maana Dkt Kikwete anachukiwa na Rais Samia anachukiwa
Roho zao mbaya zimewaua mapemaSema tu kwako wewe marais ni Wakatoliki.
Ndo mana Mungu kawaua wote mapema kabisa.
Shetani lilishaozeana chini ya ardhiUnamsifia shetani?
Nikikwambia katika Euclidean planes kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara, utakubali?
Hilo muulize Makamba, mi nimemzungumzia Kikwete tu na jinsi anavyowapeleka na kuwakera nyie haters kwa uwezo wa M/MunguYote kwa yote, tuambieni, Bwawa la Nyerere manjaza lini? Crane la tani 26 limefika wapi? Msipojibu hili swali mtaendelea kutukanwa sana na hiyo gesi yenu
No! No! No! It shouldn't go this way!Mzazi wako mbona hakuwai kabla kutaja tarehe au jinsia ya mtoto dizaini yako atakae mzaa?
ebu muulize baba yako Ni zile shahawa tu alizomwaga ndio zikasababisha uumbwe wewe au alikununua kwa matahila ya ulaya?!?
Post #148 ni jibu la post yako hiiImpact ya kiongozi kwa jamii ndiyo kipimo sahihi cha urefu wa maisha yake. Kuna manungayembe yataisha zaidi ya miaka mia moja, lakini yatakayofanya duniani hayafikii hata nusu ya yale yaliyofanywa na impactful people walioishi miaka 50!
Kwa maneno mengine unatuambia kuwa umeanza kuugua na wewe!Naungana na wewe kwa asilimia 💯
Fanya uchunguzi vizuri......yule jamaa anapokuwepo shangwe linakuwa kubwa. Unakumbuka siki aliyotembelea bungeni ilikuaje?!!! Huo ni mfano tu na baada ya hapo kukawa na kampeni nzito nzito za kumpondea kupitia kwa kina musiba & co. Pamoja na yeye kutojibu chochote lkn bado ameendelea kusimama.....ilikuwa ni dola dhidi ya kikwete!Si lazima mitaani mkuu , angalia any public event watu hawapendi a angage na national issues why ?
Aisee sana, sijui kwanini?!! Na ajabu ni kuwa tabia hoyo ilikuzwa kwa kasi ya ajabu sana baada ya wasiompenda kikwete kuingia madarakani; kila wakikwama kutatua kero huko basi hujificha kwa kumtukana na kumzushia kikwete kila jambo. Si majengo tu, huyo ridhiwani kikwete amepewa malori yote yaliyopo tz hii, pia sheli zote ni za ridhiwani kikwete.......inachekesha sana!Wabongo wanapenda sana umbeya na majungu. Kuna jengo moja hapa mbezi beach ni ukumbi wa kukodisha kwa ajili ya shughuli za harusi linatazamana na maghorofa ya BOT. Wabongo wakazusha kwamba ni mali ya Ridhiwani Kikwete kumbe ni la mzee mmoja anaishi maeneo haya haya.
Tunapenda sana upuuzi wa kuzusha habari tusizo na uhakika nazo.
Hao wasiopenda mbona sie hatujabahatika kuwaona!Si lazima mitaani mkuu , angalia any public event watu hawapendi a angage na national issues why ?
Nakubaliana na wewe lkn natofautiana kwenye utulivu wa uchaguzi wa kenya.Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K
Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Jizi lilisha hukumiwa tayari na covidHilo jizi halina jipya. Linasubiri kufa tu baada ya kumtumikia ibilisi kwa uaminifu.
Use your energy to do something useful and stop praising this dead corpse.
Covid inaweza kuondoa kero na stressesHilo jizi halina jipya. Linasubiri kufa tu baada ya kumtumikia ibilisi kwa uaminifu.
Use your energy to do something useful and stop praising this dead corpse.
Sukuma gang kwenye ubora wako wahedHamna cha the hate hapo. Mimi ni msema kweli tu. Simchukii ila namdharau.
Huo ndio ukweli. Hana jipya huyo, mwendo ameumaliza. Hata uso wake tu unaonesha kashaumaliza mwendo.
Na kibaya zaidi hawezi kuwa na uzee wenye heshma kama ule wa sampuli wa Nyerere.
Ameshajiingiza kwenye MAGENGE YA UHALIFU na matakataka ya ajabu ajabu.
He is really doomed. I can't see any future for him.
Nenda burigi ukaabuduNIMEONA Mzee wetu, Mh. Dkt Kikwete alitokea kupendwa sana na kuaminiwa na watanzania baada ya kutamka ameleta chuma cha pua (Dkt Magufuli) na yeye kukiri watu walimdharau akiwa Rais. Dkt Kikwete alizidi kupata umaarufu ktk utawala wa Dkt Magufuli kwa hekima zake za kutokujisemesha mbovu au kuwa mkimya na kukubaliana na kazi ya Dkt Magufuli. Chuki dhidi ya Dkt Kikwete ilianzia pale alipokiri kuwa eti mafisadi wakishughulikiwa basi nchi haitatawalika (hata IGP Said Mwema alikiri hilo). Basi watu wakasema Dkt Kikwete anakumbatia wezi. Na ktk kipindi chake cha urais ndiyo tulishuhudia ukiukwaji wa haki za binaadamu (ulimboka mpaka leo sijui yupoje unaweza kukuta ni kilema, Daudi Mwangosi aliuawa mchana kweupe, bomu arusha, wizi wa epa, richmond, wafanyakazi hewa, etc). Dkt Magufuli aliposhika hatamu alifanya kazi kurekebisha na ktk kurekebisha huko Dkt Kikwete alisifia pia na watanzania wakaona ana hekima. Ila waliomharibia na wapambe wake akina Makamba, Nape, Rais Samia etc. Wao badala ya kuonesha hudhuni ya msiba walianza na kuonesha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kushangilia huku kwa wapambe wake ndiko kumeunganisha doti kuwa Dkt Kikwete anahusika na kifo cha Dkt Magufuli ili aendelee kutawala kupitia Rais Samia. Sharti hawa akina Nape wangejua wanavyoropoka na kufurahia kifo cha Dkt Magufuli wanazidi kumharibia Dkt Kikwete ambaye ni kipenzi cha wote wangenyamaza. Dkt Kikwete ana hekima sana tena sana, ni muadilifu mno, ila ana zungukwa na watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo na wasiokuwa wavumilivu.
Umemnasibisha Makamba na JK, hivyo tunauliza, crane la tani 26 limefika wapi? Otherwise msipojibu hili, kubalini kutukanwa tuHilo muulize Makamba, mi nimemzungumzia Kikwete tu na jinsi anavyowapeleka na kuwakera nyie haters kwa uwezo wa M/Mungu
Vizuri, kuna thread humu leo inatembea inayohusu habari hiyo.....imeelezea % zilizofikiwa na zilizobaki na changamoto zake. Kukata mzizi wa fitina, na picha zipo ili muelezane vizuri huku ni uzushi upi sasa mtoke nao!Umemnasibisha Makamba na JK, hivyo tunauliza, crane la tani 26 limefika wapi? Otherwise msipojibu hili, kubalini kutukanwa tu
Yy jk aliliingiza taifa ktk ufisadiNIMEONA Mzee wetu, Mh. Dkt Kikwete alitokea kupendwa sana na kuaminiwa na watanzania baada ya kutamka ameleta chuma cha pua (Dkt Magufuli) na yeye kukiri watu walimdharau akiwa Rais. Dkt Kikwete alizidi kupata umaarufu ktk utawala wa Dkt Magufuli kwa hekima zake za kutokujisemesha mbovu au kuwa mkimya na kukubaliana na kazi ya Dkt Magufuli. Chuki dhidi ya Dkt Kikwete ilianzia pale alipokiri kuwa eti mafisadi wakishughulikiwa basi nchi haitatawalika (hata IGP Said Mwema alikiri hilo). Basi watu wakasema Dkt Kikwete anakumbatia wezi. Na ktk kipindi chake cha urais ndiyo tulishuhudia ukiukwaji wa haki za binaadamu (ulimboka mpaka leo sijui yupoje unaweza kukuta ni kilema, Daudi Mwangosi aliuawa mchana kweupe, bomu arusha, wizi wa epa, richmond, wafanyakazi hewa, etc). Dkt Magufuli aliposhika hatamu alifanya kazi kurekebisha na ktk kurekebisha huko Dkt Kikwete alisifia pia na watanzania wakaona ana hekima. Ila waliomharibia na wapambe wake akina Makamba, Nape, Rais Samia etc. Wao badala ya kuonesha hudhuni ya msiba walianza na kuonesha kufurahia kifo cha Dkt Magufuli. Kushangilia huku kwa wapambe wake ndiko kumeunganisha doti kuwa Dkt Kikwete anahusika na kifo cha Dkt Magufuli ili aendelee kutawala kupitia Rais Samia. Sharti hawa akina Nape wangejua wanavyoropoka na kufurahia kifo cha Dkt Magufuli wanazidi kumharibia Dkt Kikwete ambaye ni kipenzi cha wote wangenyamaza. Dkt Kikwete ana hekima sana tena sana, ni muadilifu mno, ila ana zungukwa na watu wenye upeo mdogo wa kuchambua mambo na wasiokuwa wavumilivu.