Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Mnamchukia nyie wabaguzi wa dini msiojitambua 😎 mazuzu ya jiwe
 
Yote kwa yote, tuambieni, Bwawa la Nyerere manjaza lini? Crane la tani 26 limefika wapi? Msipojibu hili swali mtaendelea kutukanwa sana na hiyo gesi yenu
Hilo muulize Makamba, mi nimemzungumzia Kikwete tu na jinsi anavyowapeleka na kuwakera nyie haters kwa uwezo wa M/Mungu
 
Mzazi wako mbona hakuwai kabla kutaja tarehe au jinsia ya mtoto dizaini yako atakae mzaa?
ebu muulize baba yako Ni zile shahawa tu alizomwaga ndio zikasababisha uumbwe wewe au alikununua kwa matahila ya ulaya?!?
No! No! No! It shouldn't go this way!
 
Impact ya kiongozi kwa jamii ndiyo kipimo sahihi cha urefu wa maisha yake. Kuna manungayembe yataisha zaidi ya miaka mia moja, lakini yatakayofanya duniani hayafikii hata nusu ya yale yaliyofanywa na impactful people walioishi miaka 50!
Post #148 ni jibu la post yako hii
 
Si lazima mitaani mkuu , angalia any public event watu hawapendi a angage na national issues why ?
Fanya uchunguzi vizuri......yule jamaa anapokuwepo shangwe linakuwa kubwa. Unakumbuka siki aliyotembelea bungeni ilikuaje?!!! Huo ni mfano tu na baada ya hapo kukawa na kampeni nzito nzito za kumpondea kupitia kwa kina musiba & co. Pamoja na yeye kutojibu chochote lkn bado ameendelea kusimama.....ilikuwa ni dola dhidi ya kikwete!
 
Aisee sana, sijui kwanini?!! Na ajabu ni kuwa tabia hoyo ilikuzwa kwa kasi ya ajabu sana baada ya wasiompenda kikwete kuingia madarakani; kila wakikwama kutatua kero huko basi hujificha kwa kumtukana na kumzushia kikwete kila jambo. Si majengo tu, huyo ridhiwani kikwete amepewa malori yote yaliyopo tz hii, pia sheli zote ni za ridhiwani kikwete.......inachekesha sana!
 
Si lazima mitaani mkuu , angalia any public event watu hawapendi a angage na national issues why ?
Hao wasiopenda mbona sie hatujabahatika kuwaona!
Ila ambacho tulikishuhudia ni siku alipotingwa bungeni na Bunge zima kuripuka kwa furaha.
 
Nakubaliana na wewe lkn natofautiana kwenye utulivu wa uchaguzi wa kenya.

Wakenya wanaendesha uchaguzi wao kwa amani wakiwa na kumbukumbu kichwani mwao kwa yaliyo tokea kwenye chaguzi zao za 2012 na ule wa 2017.

Walipata funzo kubwa sana na wengine hasa viongozi wao walifikishwa the Hague.
 
Sukuma gang kwenye ubora wako wahed
 
Nenda burigi ukaabudu
 
Hilo muulize Makamba, mi nimemzungumzia Kikwete tu na jinsi anavyowapeleka na kuwakera nyie haters kwa uwezo wa M/Mungu
Umemnasibisha Makamba na JK, hivyo tunauliza, crane la tani 26 limefika wapi? Otherwise msipojibu hili, kubalini kutukanwa tu
 
Umemnasibisha Makamba na JK, hivyo tunauliza, crane la tani 26 limefika wapi? Otherwise msipojibu hili, kubalini kutukanwa tu
Vizuri, kuna thread humu leo inatembea inayohusu habari hiyo.....imeelezea % zilizofikiwa na zilizobaki na changamoto zake. Kukata mzizi wa fitina, na picha zipo ili muelezane vizuri huku ni uzushi upi sasa mtoke nao!
 
Yy jk aliliingiza taifa ktk ufisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…