Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Wewe wasema, lkn mwenyewe anazidi kupeta .
Wasiokuwa comfortable wanazeeka mapema na wengine wamekufa vibaya vibaya tu

Maisha yasiyokuwa na tija mara nyingi yanakuwa marefu sana. Impactful people live shorter lives, on average!
 
Kwanza kabisa thibitisha Mungu yupo na kuwapo kwake si hadithi za uongo za watu tu.

Kiranga una utani na Mungu?

Don’t fall for this ignorance fallacy. Failing to prove that God exists is no proof that God doesn’t exist!
 
Kiranga una utani na Mungu?

Don’t fall for this ignorance fallacy. Failing to prove that God exists is no proof that God doesn’t exist!
Failing to prove God exists is not proof that God doesn't exist.

But it is not proof that God exists either.

I do not say God does not exists because you can't prove God exists.

I am saying God does not exists because, there is internal contradiction in the concept of the existence of God.

So, how do you know that God exists, and the narrative that God exists is no mere empty story?
 
Kufa kwako kunaonesha Mungu hayupo, Mungu angekuwepo, usingekufa ukatenganishwa na watu wanaokupenda na unaowapenda.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atenganishe watu wanaopendana kwa kifo?
Pole, kuna siku utakuja kuwahubiria watu bado nakuombea neema ikushukie
 
Pole, kuna siku utakuja kuwahubiria watu bado nakuombea neema ikushukie
Siku gani? Itaje tarehe yake kwa uhakika turudi hapa kuhakiki.

Vinginevyo, wewe mzushi tu.

Mpaka sasa hujathibitisha Mungu yupo.
 
Jakaya kikwete ni mwanadiplomasia mahiri, bingwa wa siasa za Afrika, baba wa demokrasia na mwenye uvumilivu na subra ya hali ya juu. Ni miongoni mwa marais wachache wa Afrika waliowapenda wananchi aliowaongoza. Hakutaka wapate shida, wananchi walikuwa na raha. Muasisi wa miradi mingi ya awamu ya jiwe. Halafu hapendi sifa na ni muungwana sana. God bless president Jakaya Mrisho Kikwete.
 
Jakaya kikwete ni mwanadiplomasia mahiri, bingwa wa siasa za Afrika, baba wa demokrasia na mwenye uvumilivu na subra ya hali ya juu. Ni miongoni mwa marais wachache wa Afrika waliowapenda wananchi aliowaongoza. Hakutaka wapate shida, wananchi walikuwa na raha. Muasisi wa miradi mingi ya awamu ya jiwe. Halafu hapendi sifa na ni muungwana sana. God bless president Jakaya Mrisho Kikwete.
Amina! Amina!!
 
Uko sahihi kabisa mkuu yaani ukikuta mtu anamshambulia Jakaya basi lazima amshambie Mzee Mwinyi vile vile Rais Samia.

Ukiunganisha dots utakuta ni udini tu unawasumbua ambao hautawapeleka popote.

Rais mstaafu Jakaya Kikwete ndiye Rais bora kabisa kuwahi kutokea katika Taifa hili tangu nchi iumbwe.

Ni mstaafu ambaye anaweza kutembea mtaani pasipo ulinzi na asiguswe hata na nzi maana ni mtu wa watu ukiachilia hawa haters wachache wasio na sababu za msingi isipokuwa kunuka udini uchwara.
Ni faraja kusikia hili.....hatumuombei uadui kabisa huyu mwamba!
 
Failing to prove God exists is not proof that God doesn't exist.

But it is not proof that God exists either.

I do not say God does not exists because you can't prove God exists.

I am saying God does not exists because, there is internal contradiction in the concept of the existence of God.

So, how do you know that God exists, and the narrative that God exists is no mere empty story?

We know too little to make any credible argument regarding the existence of God. As a matter of fact, it serves no purpose to require a robot to prove to another robot that there’s a robot engineer who designed and made them!
 
Hilo jizi kikwete halina hata issue kivile.

Huwa napenda tu kulisimanga kwa sababu najua ameshaumaliza mwendo.
Wajisahaulisha machungu ya kufiwa na Mungumtu wenu kwa kumsema viabaya JK!
Hiyo haitakusaidia, JK sio level yako Ajuza wewe
 
Maisha yasiyokuwa na tija mara nyingi yanakuwa marefu sana. Impactful people live shorter lives, on average!
So you Mandela hakuwa na Maisha yenye tija ndo mana aliishi muda mrefu?
Na Hitler alikuwa na maisha yenye tija ndo akafa muda mfupi
 
So you Mandela hakuwa na Maisha yenye tija ndo mana aliishi muda mrefu?
Na Hitler alikuwa na maisha yenye tija ndo akafa muda mfupi
Sidhani kama atatokea tena katika hili
 
Back
Top Bottom