Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Hakika Mungu akishakupangia hakuna wa kupangua! Hongera Jakaya Kikwete

Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Unamsifia shetani?
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Wabongo wanapenda sana umbeya na majungu. Kuna jengo moja hapa mbezi beach ni ukumbi wa kukodisha kwa ajili ya shughuli za harusi linatazamana na maghorofa ya BOT. Wabongo wakazusha kwamba ni mali ya Ridhiwani Kikwete kumbe ni la mzee mmoja anaishi maeneo haya haya.

Tunapenda sana upuuzi wa kuzusha habari tusizo na uhakika nazo.
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Na Tume inafanya kaz gan km Ameenda Kusimamia
 
Mungu alitujaalia kuwa na Rais kama Kikwete Mungu anaipenda Tanzania.

Shetani la awamu ya tano nalo alilichukua na kuliangamiza.
 
Ni nadra kupita siku bila kutukanwa huyu mzee, kama sio thread basi comments za wadau.....lkn lazima atukanwe!
Ni nadra kupita siku bila familia ya huyu mzee kutukanwa.
Ni nadra kupita siku bila utawala wake uliopita kudhihakiwa...dhihaka zenye kukera kabisa zingine. Aliyotafanya au kuyaasisi yote anapewa mpendwa wao!
Ni nadra kupita siku bila, zaidi ya mara moja, mtu huyu kutukaniwa watu aliowahi kufanya nao kazi....yaani kama ulifanya kazi na jk humu usipite.......yote yanayowakuta kina makamba na nchemba ni kwakuwa tu walidanya kazi na jk.
Ni nadra kupita siku bila kuendelea kuzushiwa huyu mzee na mambo ya ajabu na mazito kwelikweli......kuzushiwa kuua mtu si jambo dogo! Amechukuliwa mpaka picha yake akiwa ibadan, Mekka, na mkewe na marafiki na kunasibisha na habari zao za kisheitwani walizotunga.
N.K

Wakati hayo yote yakifanyika kwa lengo la kumchafua mbele ya taifa na mataifa na kimataida; asinoge, anuke, asahaulike, apuuzwe n.k., Mungu amesema hapana na huyooo wamemchukua kusimamia uchaguzi muhimu wa Kenya.......mpaka sasa mambo yanaonekana kwenda vizuri.
Shida ya huyo mzee ni Unyonyaji anaotufanyia Watanzania,, anampangia mama Safu ya watu wake watakaofanikisha Michongo yake iende, Mafuta yapande ila apate mafaida, maumeme yakatwe Majenereta yatumike apige hela, hali inakua ngum sana kwa watu wa chini wao wa kati na juu wanaenjoy tu. Huu ndo mtazamo wa majority ukipinga huwez pata suruhu ya kumuosha huyo mzee,, Kupanga Safu ya Mafisadi wa nchi
 
Acha upumbavu sio kusimamia, ni muangalizi tu tena wasio na meno, eti "ona uchaguzi unavyoenda vizuri",chawa kazini.
😂😂😂😂
Sheikh acha nginga, hasira na jazba!
 
Shida ya huyo mzee ni Unyonyaji anaotufanyia Watanzania,, anampangia mama Safu ya watu wake watakaofanikisha Michongo yake iende, Mafuta yapande ila apate mafaida, maumeme yakatwe Majenereta yatumike apige hela, hali inakua ngum sana kwa watu wa chini wao wa kati na juu wanaenjoy tu. Huu ndo mtazamo wa majority ukipinga huwez pata suruhu ya kumuosha huyo mzee,, Kupanga Safu ya Mafisadi wa nchi
Ulivyoongea kwa utulivu utafikiri kuna chochote unachokijua maskini ya Mungu!!
 
Unataka uone Future gani Kwa Mtu aliyekuwa Rais wa Nchi. Ww ndio unatakiwa kupambania Future yako.
Mwenyewe nimeshangaa tu hiyo comment; eti Kikwete hana future yoyote! Duuu!!

Ajabu ni kuwa hiyo comment ina likes kibao kuonyesha kwamba kumbe ameongea kitu cha maana mno kwa baadhi ya 'great thinkers' humu. Aisee wonders shall never end!!
 
Kufa kwako kunaonesha Mungu hayupo, Mungu angekuwepo, usingekufa ukatenganishwa na watu wanaokupenda na unaowapenda.

Kwa nini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atenganishe watu wanaopendana kw
Mwamba umeendelea kung'ang'ana na msimamo wako. Binafsi sina uwezo wa kuvunjavunja hoja zako kwa hoja nzito zaidi lakini naamini Mungu yupo na naamini hoja zako kuna siku (au pengine tayari) zitajibiwa kwa kiwango cha kukuridhisha na mwishowe utajitokeza mwenyewe hadharani kukiri na kuomba msamaha!
 
Wakati wewe unamchukia wenzako huko duniani wanaijua thamani yake na chuki zako hazimpunguzii chochote bali wajizeesha tu
Hilo jizi kikwete halina hata issue kivile.

Huwa napenda tu kulisimanga kwa sababu najua ameshaumaliza mwendo.
 
Viongozi waliopo na wajao sina uhakika kama wanajifunza lolote. Hebu just imagine mzee Mwinyi , wakuu wa majeshi wastaafu, mzee warioba unaweza ongeza wa kwako , wanavyo enjoy ustaafu wao. They are just happy na wana public acceptance wanaweza wakatokea popote wakagonga cheers na wananchi wa kawaida kabisa , why mzee kikwete anazomewa kila mahala? Hayuko comfortable na public ? Hii ni changamoto kwa viongozi wajao na wa sasa ku win public share ama ku engage dubious deals na kukosa public acceptance .mtu unakataliwa hadi unauharibia uzao wako. Shame .
Upo nchi hii kiongozi?!!!
 
Mwamba umeendelea kung'ang'ana na msimamo wako. Binafsi sina uwezo wa kuvunjavunja hoja zako kwa hoja nzito zaidi lakini naamini Mungu yupo na naamini hoja zako kuna siku (au pengine tayari) zitajibiwa kwa kiwango cha kukuridhisha na mwishowe utajitokeza mwenyewe hadharani kukiri na kuomba msamaha!
Kuamini unaruhusiwa kuamini lolote unalotaka, hiyo ni haki yako ya kikatiba.

Lakini, kuamini kitu hakukifanyi kitu hicho kiwe kweli.

Kitu muhimu hapa si unaamini nini, kila mtu anaruhusiwa kuamini anachotaka.

Kitu muhimu hapa ni, ukweli ni upi?

Ukweli ni kwamba, dhana ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya kuwapo, inajipinga yenyewe (ina internal contradictions).

Kujipinga huko kunaonesha Mungu huyo hayupo.

Yani, ni sawa mtu akwambie kwamba, katika Euclidean geometry, kuna duara, lina nyuzi 360, halafu kuna pembetatu, ina nyuzi 180, vitu hivi viwili ni tofauti.

Halafu, hapo hapo, akwambie kwamba, kuna pembetatu-duara moja ya ajabu ipo, yani hiyo hapohapo ni pembetatu na pia ni duara, kwa wakati mmoja.

Utakubali habari hiyo kuwa ni ya ukweli?
 
Back
Top Bottom