Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Wanaoa malaya wale
Wapo wanawake wametulia mbonaa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo ulitaka waende maofisini wakiwa rafu..?? Hebu uko 😂😂😂
 
Jomba pole sana. Wewe sio mtu wa kwanza kugongewa. Hata hao mama wa nyumbani wanagongwa ukienda kazini. Mbaya zaidi utakuta anayekugongea ni muuza mkaa au yule kijana jirani yako aliye bachela. Haya maisha yanahitaji sana neema za Mungu. Kwa akili zetu utaishia kupata stress.
 
Dadeeeki
 
Cha kwanza hakuna muaminifu ila wapo wanaojiheshimu, cha pili sio kila mwanamke yuko kama wako au ulowatafuna.

Mwisho kuna mzee aliwahi sema akili zetu bado za utoto, tunajifanya kukua na akil za kizee

Ndo mana hatuoi mana waoga wa majukumu na visingizio kibao.

Nitaoa ataenifaa.
 
Alafu kuna mtu BDO ananishawishi Kbs et nioe haha... Never ever [emoji174]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…