Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

mapenzi sio chakula msiyachukulie serious kihivyo hata mwanamke wa nyumbani naye analika vyema tu tena analiwa na boda muuza genge mangi dukani wakopesha vyombo jirani ambaye yupo home muda mwingi.... cha msingi eleweni umalaya ni kama kioo kinaakisi kile kinachokitizama......

kama hujaelewa njoo pm
 
Suluhisho katika haya ni watu kujiheshimu na kuwa na hofu ya Muumba.Ila mazingira ya maofisi kwa sehemu kubwa yana vishawishi ,kuna office moja niliingia mule katika ile ofisi kuna chumba cha bosi ambaye ni wa kiume na mfanyakazi mwingine wa kike , mule mule katika kile chumba cha ofisi kuna choo,hali inayopelekea huduma zote binafsi za mtu kujisaidia mngine kusikia.Sasa hebu fikiria wanaume sisi wa kiafrika watu wapo wawili peke yao, ke na me, ndani alafu mwanamke wa mtu anajisadia haya ndogo alafu mwanaume anasikiliza mkojo unavyotiririka wa mwanamke katika mazingira tulivu nini kitatokea kama sio kuleta hashiki kwa mwanaume na kugeuzana mke na mume.
 
Salamu ndugu zangu

Huu ukweli ni mchungu sana na unachoma kama miale ya moto ila lazima usemwe ili ujue kama mwanaume utaamua kunyoa au kufuga nywele

Ukweli hakuna mwanamke aliyeajiriwa mwenye mwanaume mmoja sahau kabisa ewe mwanaume mwenye akili timamu, hata huyo mkeo akijifanya hataki baby wa ofisini wenzake watamsukumizia na kumsumbua mpaka akubali kuwa na baby boy wake wa ofisini. Haya ndiyo tunayo yaona huku maofisini ndugu zangu

Enyi wanaume mliooa wanawake waajiriwa jueni jambo hili kwamba kwenye ndoa zenu hamko peke yenu, mwanamke wako aliye ajiriwa huku ofisini ana mume wake pia na wanapanga mpaka siku ya valentine days namna watakavyo nyanduana nakufurahia siku yao

**Huyo mkeo mwajiriwa aliye kua ana kusaidia ukikwama ipo siku ukweli na kuambia atakataa kukusaidia vijisenti kidogo kumbe huyu mumewe wa kazini kwake kamwambia hela ya mwanamke haina matumizi, haitumiki na haihesabiki ndani ya ndoa ni ya kwake peke yake

**Huyo mkeo ana mume wake wa ofisini anaye muomba hela na kumsimulia madudu yako unayomfanyia huko ndani ya ndoa yenu, atamuambia huyo baby wake wewe unamtesa na haumpi raha ya maisha.

**Huyo mkeo mwajiriwa ana mume wake ambae siku wakienda ziara za kikazi au kwenye semina anampa utelezi huku anakung'ong'a wewe, hakika anampea yote kuliko anavyokupea wewe huko ndani ya ndoa

**Hakika huyo mkeo muajiriwa ana mume wake ofisini anayemliwaza na kumpafuraha ambazo nyumbani ana sema hazipati , huku atabebwa, atakumbatiwa kwa mahaba mazito huku akinusa harufu ya manukato mazuri ya mume wake wa kazini si chini ya sekunde , watatoka breakfast na lunch time huku wameshikana mikono atakula kwa bili ya mumewe wa kazini tena sehemu za migahawa nzuri nzuri na wakimaliza watarudi ofisini huku akiwa na furaha tele wakipiga story za hapa na pale

**Huyo mke wako ana mume wake ambaye huku kazini watacheza na kufanya utoto wote ikiwemo kumvuta kwenye hivi viti vya matairi boss akiondoka, kutaniana na kumshikashika mpaka aloe shwaaa

**Huyo mkeo muajiriwa hakika ipo siku atachelewa kurudi nyumbani akisingizia anapiga kazi hadi overtime atasema ana extra days ila kaa ukijua yupo na mumewe wa ofisini akila maisha huku anakung'ong'a wewe mumewe wa ndoa

**Huyo mkeo mbaya zaidi akiwa ofisi moja na ex-wake kaa ukijua wewe ni geresha tuu na huyo ex wake ndiye mumewe ni vile tuu analala kwako

**Huyo mkeo mwajiriwa ipo siku atakuambia amechoka maisha haya ya mateso ili hali humtesi kumbe kapumbazwa na mumewe wa ofisini kwake

**Hakika huyo mkeo wa ndoa atakuwekea visirani, visasi, na viugomvi ugomvi ili uingie kingi mfarakane aivunje ndoa mgawane mali aweze kwenda kuenjoy na baby wake wa kazini

**Hakika huyo mkeo wako ana mume wake wakazini anaye mzuzua mpaka akuone wewe mumewe humpi uhuru na ataanza kukudai uhuru hakika.

***Ndugu zangu wanaume wanawake waliumbwa kwaajili yetu na sio sisi kwaajili yao, sasa kaa ukijua huyo mkeo wa ndoa mama watoto wako muajiriwa huku kazini kwake ana mume wake wanae kula nae maisha
kazi unayo
 
Iko hivi

Kama unaishi na mwanamke, usijipe uhakika wa asilimia hata 50 kwamba huyo ni wako tu. Dunia hii hakuna mwanamke wa kujipa uhakika kuwa haliwi nje na wewe. Ukilifahamu na ukaliishi hili utaishi kwa raha mno
 
Kuna miamba na mifeminist itasema, "Mwanamke hata asipokua anafanya kazi atachapwa hata na boda boda! Cha msingi oa mwanamke mfanyakazi anaejitambua msioe wanawake malaya!!!"

Natafuta sana hii comment siioni. Lakini najua wapo maboya watakuja kusema hivyo.

Kitu wasichokijua ni kwamba mwanamke ni kiumbe dhaifu sana hivyo wewe mwanaume haupaswi kumuweka katika mazingira ya vishawishi vya kukutana mara kwa mara na wanaume. Atachapwa tu hata kama hana chembe za umalaya!!!
Mwanamke hapaswi kununuliwa hata simu, ikiwa kuna ulazima sana basi iwe kiswaswadu au unasemaje mkuu
 
Mwanamke anapaswa kuwa mama wa nyumbani tu, na siyo kwenda kufanya kazi maofisini. Wazee wetu toka zamani waliliona hilo mapema, ndiyo maana hawakuona umuhimu wa kumsomesha mwanamke. Ni vema kumfungulia mwanamke biashara yake ya bidhaa fulani lakini siyo kumruhusu kuajiriwa na kwenda kufanya kazi maofisini.
Unajidanganga saanaa!! Huwajui vizuri hao unaosema waaminifu!! Hao ni hatari kuliko unavyowaza!! Unatoka tuu asbh, dume linaingia!! Linapikiwa chai nzito linakula na zawadi juu!! Hadi uje urudi toka huko kazini kwako, kashaingiza wanaume Hadi watatuu!! Chezea wanawake wewee[emoji68]‍🦯[emoji68]‍🦯[emoji68]‍🦯[emoji68]‍🦯

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
HII KALI KULIKO [emoji2956][emoji2956][emoji2956]

JOHN :-Habari yako bwana?

HASSAN :-Nzuri we Nani?

JOHN :-Natumaini hatufahamiani.

HASSAN :-Yes, sikufaham wewe nani nikumbushe..

JOHN :-mimi naitwa mr JOHN au baba Hellen.

HASSAN :-ndio..

JOHN :-Mke wangu ni ANNA ambae kwa sasa ndio mpenzi wako kipenziiii kwa maelezo niliyoyakuta kwenye simu yake.

HASSAN :- (kimyaa)

JOHN :-Leo nakutumia sms hii sio kwa ubaya bali kwa kukupongeza kwa kumbadilisha sana mke wangu.

HASSAN :- (*nisamehe bro, nipo Mwanza kwa Sasa)

JOHN :- Usijai Jana nilikuona unavuka barabara, umekutana na mke wangu mmepanda Bajaji sikujua mlielekea wapi. ..

HASSAN :-(kimyaa)

JOHN :-lakini usijali, kitu ambacho nakupongeza ni kwa kumbadilisha mke wangu.
kitu ambacho hata mapadre na wazazi wake walishindwa.

HASSAN :-(kimyaa)

JOHN :-kwa kweli Anna mke wangu sasa hivi kabadilika sanaaa.
Hanywi tena pombe kupitiliza kama hapo mwanzo, hafokei hovyo watoto na kuwapiga kama mwanzo, harudi nyumbani usiku tena. sasa hivi mke wangu ananipikia na kunifulia.

JOHN :-Unanisikia kaka..

HASSAN :-Ndio

JOHN :-Yaani Nimeshangaa sana. haya mambo niliyasahau muda kutoka kwa mke wangu Anna mpendwa.

HASSAN :-Umejuaje bro

JOHN :-Nimejua, tatizo lilikuwa ni mimi mwenyewe. baada tu ya kunifumania na mwanamke mwengine ndipo mke wangu alibadilika sanaa mpaka nilijuta.

HASSAN :-Aliniambia...Pole Sana

JOHN :-Ansante, yaani kila jitihada zilishindikana za kumrudisha awe kama zamani, ikawa inapotokea nashindwa kutimiza haja zake za kimwili kama zamani basi ni ugomviiii, naonekana kama nimemalizia nguvu huko nje.

HASSAN :-Kwani amebadilika nini?

JOHN :-Ndio, kwa mabadiliko ya hivi karibuni ndio kitu kimenishangaza mke wangu amekuwa na furaha kama mwanzo, amekuwa mcheshi na watoto. anapika na kufua.

HASSAN :-Mbona uwa akija kwangu anafua

JOHN :-Lakini nimegundua sababu kubwa ya mabadiliko haya ni wewe Hassan, toka akupate uwe mchepuko wake amekuwa akikuheshimu sana amekuwa akikusikiliza sanaaa.
Nimekuta sms zako nyingi ukimuuliza mke wangu Anna:

umewapikia watoto?
Mtunze mmeo mimi wa kupita tu
umempikia mme mwenzangu chakula gani
ulivyonipa jana mpe na mzee hivyo hivyo ila usimchoshe..
Anna nimenunua suti na viatu uje kesho uchukue hivyo kwa ajili ya mmeo
msalimie mheshimiwa
Anna uko wapi saa hizi muda wa kurudi mumeo, rudi kwako haraka

Nimefurahi sana kwani nae amekuwa akitii maagizo yako kuliko yangu.

Nimefurahi zaidi kwa kuwa hunywi pombe na hivyo hata yeye umemkataza kunywa pombe na ameacha kabisaaa, hata nilizo nunua mimi ili anywe ziko tu kwenye friji.

Hataki kabisa kunywa pombe kwa kuwa anakuogopa.

Wewe ni mmoja wa wanaume wachache sana ambao hutembea na mke wa mtu na bado akahitaji asiharibu ndoa yake.

Yaani wewe kutembea na mke wangu kumeimarisha sana ndoa yangu.

Hata unapomuudhi wewe huwa najua.

Maana atashinda hana raha kabisa.
Ahsante sana HASSAN.

Ila ninachokuomba mwambie na mie asinisahau sana kwenye tendo la ndoa.

HASSAN :-Sawa nitamwambia....

JOHN :-maana mkiahidiana kukutana wiki ijayo ujue wiki nzima sipewi anakutunziaa.

HASSAN :-Nimekuelewa kaka..

JOHN :-Naomba umwambie hilo.

HASSAN :-Haya..

JOHN :-Mimi ni mtu mzima nahitaji kulea wanangu kwa amani zaidi.

HASSAN :-Ni kweli.

JOHN 😛engine nguvu zangu za sasa siwezi mtimizia mahitaji yake ya kimwili.

Bora adui mmoja ninaekujua kuliko akiwa anahangaika ovyo kutafuta kukidhi haja ya mwili wake.

Usimwambie Anna kama nimekujua maana atachukia sana na anaweza nuna mwezi mzima..

HASSAN :-Siwezi kumuambia, ilo nalijua usihofu Bro..

JOHN :- SIKU NJEMA KAKA HASSAN, TUMPENDE MKE WETU.
 
private Ila inashirikiana na public, kwakifup wanaita ppp
PPP is kind of patnership program, not an office or institution.. so ni private office. Huko ni kukosa akil kwa hali ya juu sana, kufanyia mapenzi ofisini.

Mimi hata kutoka kimpenzi na wafanya kazi siwezi na haitokaa itokee,sembuse kutiana ofisn, hama hiyo ofisi
 
Back
Top Bottom