Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

mapenzi sio chakula msiyachukulie serious kihivyo hata mwanamke wa nyumbani naye analika vyema tu tena analiwa na boda muuza genge mangi dukani wakopesha vyombo jirani ambaye yupo home muda mwingi.... cha msingi eleweni umalaya ni kama kioo kinaakisi kile kinachokitizama......

kama hujaelewa njoo pm
 
Suluhisho katika haya ni watu kujiheshimu na kuwa na hofu ya Muumba.Ila mazingira ya maofisi kwa sehemu kubwa yana vishawishi ,kuna office moja niliingia mule katika ile ofisi kuna chumba cha bosi ambaye ni wa kiume na mfanyakazi mwingine wa kike , mule mule katika kile chumba cha ofisi kuna choo,hali inayopelekea huduma zote binafsi za mtu kujisaidia mngine kusikia.Sasa hebu fikiria wanaume sisi wa kiafrika watu wapo wawili peke yao, ke na me, ndani alafu mwanamke wa mtu anajisadia haya ndogo alafu mwanaume anasikiliza mkojo unavyotiririka wa mwanamke katika mazingira tulivu nini kitatokea kama sio kuleta hashiki kwa mwanaume na kugeuzana mke na mume.
 
kazi unayo
 
Iko hivi

Kama unaishi na mwanamke, usijipe uhakika wa asilimia hata 50 kwamba huyo ni wako tu. Dunia hii hakuna mwanamke wa kujipa uhakika kuwa haliwi nje na wewe. Ukilifahamu na ukaliishi hili utaishi kwa raha mno
 
Mwanamke hapaswi kununuliwa hata simu, ikiwa kuna ulazima sana basi iwe kiswaswadu au unasemaje mkuu
 
Unajidanganga saanaa!! Huwajui vizuri hao unaosema waaminifu!! Hao ni hatari kuliko unavyowaza!! Unatoka tuu asbh, dume linaingia!! Linapikiwa chai nzito linakula na zawadi juu!! Hadi uje urudi toka huko kazini kwako, kashaingiza wanaume Hadi watatuu!! Chezea wanawake wewee[emoji68]β€πŸ¦―[emoji68]β€πŸ¦―[emoji68]β€πŸ¦―[emoji68]β€πŸ¦―

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
HII KALI KULIKO [emoji2956][emoji2956][emoji2956]

JOHN :-Habari yako bwana?

HASSAN :-Nzuri we Nani?

JOHN :-Natumaini hatufahamiani.

HASSAN :-Yes, sikufaham wewe nani nikumbushe..

JOHN :-mimi naitwa mr JOHN au baba Hellen.

HASSAN :-ndio..

JOHN :-Mke wangu ni ANNA ambae kwa sasa ndio mpenzi wako kipenziiii kwa maelezo niliyoyakuta kwenye simu yake.

HASSAN :- (kimyaa)

JOHN :-Leo nakutumia sms hii sio kwa ubaya bali kwa kukupongeza kwa kumbadilisha sana mke wangu.

HASSAN :- (*nisamehe bro, nipo Mwanza kwa Sasa)

JOHN :- Usijai Jana nilikuona unavuka barabara, umekutana na mke wangu mmepanda Bajaji sikujua mlielekea wapi. ..

HASSAN :-(kimyaa)

JOHN :-lakini usijali, kitu ambacho nakupongeza ni kwa kumbadilisha mke wangu.
kitu ambacho hata mapadre na wazazi wake walishindwa.

HASSAN :-(kimyaa)

JOHN :-kwa kweli Anna mke wangu sasa hivi kabadilika sanaaa.
Hanywi tena pombe kupitiliza kama hapo mwanzo, hafokei hovyo watoto na kuwapiga kama mwanzo, harudi nyumbani usiku tena. sasa hivi mke wangu ananipikia na kunifulia.

JOHN :-Unanisikia kaka..

HASSAN :-Ndio

JOHN :-Yaani Nimeshangaa sana. haya mambo niliyasahau muda kutoka kwa mke wangu Anna mpendwa.

HASSAN :-Umejuaje bro

JOHN :-Nimejua, tatizo lilikuwa ni mimi mwenyewe. baada tu ya kunifumania na mwanamke mwengine ndipo mke wangu alibadilika sanaa mpaka nilijuta.

HASSAN :-Aliniambia...Pole Sana

JOHN :-Ansante, yaani kila jitihada zilishindikana za kumrudisha awe kama zamani, ikawa inapotokea nashindwa kutimiza haja zake za kimwili kama zamani basi ni ugomviiii, naonekana kama nimemalizia nguvu huko nje.

HASSAN :-Kwani amebadilika nini?

JOHN :-Ndio, kwa mabadiliko ya hivi karibuni ndio kitu kimenishangaza mke wangu amekuwa na furaha kama mwanzo, amekuwa mcheshi na watoto. anapika na kufua.

HASSAN :-Mbona uwa akija kwangu anafua

JOHN :-Lakini nimegundua sababu kubwa ya mabadiliko haya ni wewe Hassan, toka akupate uwe mchepuko wake amekuwa akikuheshimu sana amekuwa akikusikiliza sanaaa.
Nimekuta sms zako nyingi ukimuuliza mke wangu Anna:

umewapikia watoto?
Mtunze mmeo mimi wa kupita tu
umempikia mme mwenzangu chakula gani
ulivyonipa jana mpe na mzee hivyo hivyo ila usimchoshe..
Anna nimenunua suti na viatu uje kesho uchukue hivyo kwa ajili ya mmeo
msalimie mheshimiwa
Anna uko wapi saa hizi muda wa kurudi mumeo, rudi kwako haraka

Nimefurahi sana kwani nae amekuwa akitii maagizo yako kuliko yangu.

Nimefurahi zaidi kwa kuwa hunywi pombe na hivyo hata yeye umemkataza kunywa pombe na ameacha kabisaaa, hata nilizo nunua mimi ili anywe ziko tu kwenye friji.

Hataki kabisa kunywa pombe kwa kuwa anakuogopa.

Wewe ni mmoja wa wanaume wachache sana ambao hutembea na mke wa mtu na bado akahitaji asiharibu ndoa yake.

Yaani wewe kutembea na mke wangu kumeimarisha sana ndoa yangu.

Hata unapomuudhi wewe huwa najua.

Maana atashinda hana raha kabisa.
Ahsante sana HASSAN.

Ila ninachokuomba mwambie na mie asinisahau sana kwenye tendo la ndoa.

HASSAN :-Sawa nitamwambia....

JOHN :-maana mkiahidiana kukutana wiki ijayo ujue wiki nzima sipewi anakutunziaa.

HASSAN :-Nimekuelewa kaka..

JOHN :-Naomba umwambie hilo.

HASSAN :-Haya..

JOHN :-Mimi ni mtu mzima nahitaji kulea wanangu kwa amani zaidi.

HASSAN :-Ni kweli.

JOHN πŸ˜›engine nguvu zangu za sasa siwezi mtimizia mahitaji yake ya kimwili.

Bora adui mmoja ninaekujua kuliko akiwa anahangaika ovyo kutafuta kukidhi haja ya mwili wake.

Usimwambie Anna kama nimekujua maana atachukia sana na anaweza nuna mwezi mzima..

HASSAN :-Siwezi kumuambia, ilo nalijua usihofu Bro..

JOHN :- SIKU NJEMA KAKA HASSAN, TUMPENDE MKE WETU.
 
private Ila inashirikiana na public, kwakifup wanaita ppp
PPP is kind of patnership program, not an office or institution.. so ni private office. Huko ni kukosa akil kwa hali ya juu sana, kufanyia mapenzi ofisini.

Mimi hata kutoka kimpenzi na wafanya kazi siwezi na haitokaa itokee,sembuse kutiana ofisn, hama hiyo ofisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…