Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

Kwani hujui ndege wa fananao huruka pamoja mkuu. Ipo hivi huyo mkeo mwajiriwa aliyetulia ana bwana ake hapo ofisini aliyetulia pia na anaye msaidia kazi za ofisini maana nyumbani unamchosha sana
Yaani mnadhani kila mwanamke ana bwana ofisini?
 
Kuna Jamaa alishawahi kuleta ushuhuda humu JF kwamba kuna siku alisahau funguo yake ya mlango ikabidi aende Kazini kwa Mkewe kufuata funguo maana waligawana funguo.

Jamaa anasema ile anafika pale anamuona Mkewe anamtegea tako Mwanaume ambaye ni Mfanyakazi mwenzie alafu yule Mwanaume anapiga tako kwa mkono wake, hii ni changamoto sana kwenye ndoa zetu.
Ogopaa.
 
Yeye ndiye mjanja zaidi maana kakushikisha watoto wasio wako na bado anatoa yote huko nje akija anakupa uchafu utumie. Kapime hao wanao DNA alafu uje uvimbe hapa tena.

Hakuna mwanamke anaye umia hakika na kuambia. Wale wanaigizaga kuumia tuu ila siyo kama tunavyojua wameumia nasema hivi kwa sababu waliniambia wenyewe lazima waigize ili tuwaonee huruma
bahati mbaya toka amepata ajal mfumo wa uzaz ume lose hashiki mimba kuhusu uchafu sinaga muda wa kumsex japo samtaimu ananishinikiza nusura kuuana ila namkazia vp nani mjanja?
 
Kuna jamaa anisamehe kuna secretary wa bosi tulikuwa tunabaki wawili maksudi nikawa namla jicho afu maskini mmewe anakuja mpitia kazini na ananisslimia vizuri .nashukuru niliacha kaxi na kuhama mkoa na namba nlibadili maana nlipiga kibunda hivo nkachange number nlimpa mil 2 za shukran hakujua ndo bye bye
 
Acha kujifariji mkuu. Wewe jua tuu mkeo analiwa ofisini huko japo usitake kushuhudia
Mi sina mke ndgu ila sio kweli hayo, eidha una maumivu au sonona au inferiority complex.
Hata kama wanagongwa ila sio kwa hiyo stage ya mke na mume kazini.

Au labda ofisi zipi unazoongelea mkuu maana kuna ofisi mko busy masaa yote, dem kama dume na dume kama dem full kaz kaz.

Au labda ofisi zipi hizo zinaruhusu kuoneshana mahaba waziwazi na wake za watu??

Ni kweli usemayo ila si kwa kiwango hicho.
 
Kama wanafanya Kwa kupenda wenyewe shida Iko wpi, naona kama vile mna walenga watu fulani. Mkifikilia mtawaumiza .
Malaya ni malaya tu awe mfanyakazi au mama wa nyumbani. Hata hivyo wapo wanawake wanaojitambua na kujiheshimu.
 
chanzo cha mateso yote ya mwanaume ni ubinafsi kuamini sifa za mtu anazo yeye tu.
Mwanaume akikubari ukweli kuwa hata mwanamke ni kiumbe kamili chenye kujitegemea katika kujimiliki, kutaman na kuhitaji, basi ataamin hata katika mapenzi nao hupenda kubadirisha ladha kama wanaume!
binadam hamilikiwi mana ana utashi binafsi iwe ana mkataba na mtu au la!
Ndoa ni zao la ubinafsi wa mwanamme na utumwa wa mwanamke!
Muhim ni uwe na mtu ukiamini ni binadam na si asset,
Uwe tayari kuwa naye na tayari kuachana naye bila madhara ya kimwili au kiakili!
Na katika yote dumisha urafiki kwa kuwa rafiki kwanza.
usitake kuvuna usichopanda.
Iheshimu nafsi ya mtu na matakwa yake.
HAKUNA MTU WA MTU! zaidi ya makaratasi.
...love responsibly
{ushuhuda: nilishuhudia mtalii wa kiume ( 55 ages) akimruhusu mkewe kufanya ngono na beachboy kwa malipo maalum akimsisitiza kijana amshughulikie style zote mkewe aridhike! hadi leo sijui huyo baba ana kanuni gani ya maisha na ndoa}
Kama unata kuwa free hukatazwi endelea kukitembeza kikojoleo sababu ni cha kwako, ila hasiingie kwenye ndoa,sababu ina principles zake.

Ndoa kila mtu ana uza uhuru wake wa kingono na kuingia mkataba wa kusex na partiner mmoja.

So ipo hivyo na itaendelea kuwa hivyo na hamna mtu aliye lazimishwa kuoa yeye aendelee kuwa uhuru na kutumia uhuru wake wa kingono atakavyo,ila kama mtu akitaka ndoa basi kuna principles zake lazima zifuatwe na kuziishi.
 
Back
Top Bottom