edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,919
- 9,797
Yani inachanganya akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inachekesha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani inachanganya akili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inachekesha
Kwa mwanamke miaka 30Yani inachanganya akili
Wote miaka 30, kwa mtoto maishaKwa mwanamke miaka 30
Kwa wanaume wangeweka miaka 70
Wote miaka 30, kwa mtoto maisha
Ila kama mkifunga ndoa au kuishi kindoa jinsia moja kesi yenu ni miaka 7.
Hili nalo litazamwe. Kuendelea kuwajadili ni kupromote ufilauni wao.Halafu hapa mjue mnampaisha yani ndo mnamuongezea wateja. Hawa watu tufanye kuwakaushia
KabisaaHili nalo litazamwe. Kuendelea kuwajadili ni kupromote ufilauni wao.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hahahahq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dear hebu niwacheee, ukute ntakua stranger mwenyewee.
Yaonekana unapenda Sana hizi mada za mashoga na wengineo ni rafikizo, 👀👀🤔anyway your life your rulesHahahahq
So nikipenda ww kinakuwasha niniYaonekana unapenda Sana hizi mada za mashoga na wengineo ni rafikizo, 👀👀🤔anyway your life your rules
Acha unafiq unajidai "tuwapotezee tusiwajadili tusiwape umaaarudu"ilhal ndo kinara wa mada hizo 😅😅ticha banaSo nikipenda ww kinakuwasha nini
Kazi ya kulea pekeako haikutoshi unaongeza na zingine eehhAcha unafiq unajidai "tuwapotezee tusiwajadili tusiwape umaaarudu"ilhal ndo kinara wa mada hizo 😅😅ticha bana
📌📌📌 kabisa hata kwenye shughuli nyingi mjini za wanawake mashoga kama wotee na sare wanavaa .Ninawalaum sana wanawake kwa kusapoti hawa watu.... huyu jamaa ana mashabiki waaminifu sana ambao ni wanawake... kuna wanawake huwaambii kitu kuhusu Hakika Ruben... kinachoudhi wanawake wakisikia mtu ni shoga hukimbilia kuandika "Mungu tulindie vizazi vyetu" lakini kwenye maisha ya kawaida wanawake huwapenda sana hawa watu na kuwa nao karibu.
Inaonekana una stress balaah ,kataa kubali unatumia jf kama sehemu yakujipozea ushoga wakoTena papai lililo oza kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uganda museven KATEPETAtuwawekee sheria ngumu kama uganda
muache mwenzioInaonekana una stress balaah ,kataa kubali unatumia jf kama sehemu yakujipozea ushoga wako
Wanagawa vitu ovyo, hata Ela wakiwa nazo wanagawa tu ni watu wa huruma, sema tabia zao tu za ung'ese ndio ovyo.Mashoga ni loyal friend sana
Yani wana roho nzuri pia nadhan ndo sababu ya watu wa kike kuwapenda
YeahWanagawa vitu ovyo, hata Ela wakiwa nazo wanagawa tu ni watu wa huruma, sema tabia zao tu za ung'ese ndio ovyo.
Bitter na wewe [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sasa pale unauliza nn?? Wakati mie nimeuliza nipewe jibu.
Km hukuelewa ungerudia kusoma, ni vile uko bitter na mie bas unajiskia raha kunichoshaa, yaan usiponichokoza hujisikii amani wee kiumbe khaaah