Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Asalamu alaykum wanajukwaa pendwa la MMU natumai wote mubuheri wa afya.
Awali ya yote niwape hongera za dhati Waislam kwa utaratibu mzuri kuanzia kwenye posa yaani kuchumbia, ndoa na sherehe ya ndoa. Nimeshuhudia haya kwa majirani, marafiki, jamaa na wafanyakazi wenzangu.
Tukianza na posa/kuchumbia gharama inarange elfu 20 hadi 50 hapa hamna mbwembwe za sherehe wala nini. Nina ushuhuda kwa jamaa yangu aliyeposa kwa elfu 30 tu na posa ikakubaliwa.
Kuhusu mahari hawa wenzetu bint muolewaji ndio anaetamka gharama ya mahari yake na mara nyingi gharama ni kati ya laki tano hadi milioni moja, na hapo ukiona inazidigi hadi milioni ujue ni kwasabubu ya vitu vya kimila na kitamaduni vya familia/kabila la huyo bint, vitu kama fimbo na kofia ya babu ama vitenge vya bibi n.k.
Ila sitosahau kuna mfanyakazi mwenzetu hapa alioa kwa mahari ya "MASAHAFU" yaani kile kitabu cha KURAANI chenye gharama ya elfu 25.
Ukija kwenye sherehe ya ndoa sasa kusherekea ni siku ile ya ndoa tu hakuna mlolongo wa michango na masherehe
Awali ya yote niwape hongera za dhati Waislam kwa utaratibu mzuri kuanzia kwenye posa yaani kuchumbia, ndoa na sherehe ya ndoa. Nimeshuhudia haya kwa majirani, marafiki, jamaa na wafanyakazi wenzangu.
Tukianza na posa/kuchumbia gharama inarange elfu 20 hadi 50 hapa hamna mbwembwe za sherehe wala nini. Nina ushuhuda kwa jamaa yangu aliyeposa kwa elfu 30 tu na posa ikakubaliwa.
Kuhusu mahari hawa wenzetu bint muolewaji ndio anaetamka gharama ya mahari yake na mara nyingi gharama ni kati ya laki tano hadi milioni moja, na hapo ukiona inazidigi hadi milioni ujue ni kwasabubu ya vitu vya kimila na kitamaduni vya familia/kabila la huyo bint, vitu kama fimbo na kofia ya babu ama vitenge vya bibi n.k.
Ila sitosahau kuna mfanyakazi mwenzetu hapa alioa kwa mahari ya "MASAHAFU" yaani kile kitabu cha KURAANI chenye gharama ya elfu 25.
Ukija kwenye sherehe ya ndoa sasa kusherekea ni siku ile ya ndoa tu hakuna mlolongo wa michango na masherehe