Hakika Waislamu wana gharama na taratibu rahisi sana katika masuala ya ndoa

Hakika Waislamu wana gharama na taratibu rahisi sana katika masuala ya ndoa

wala hajapigwa,iyo pesa mbona ndogo kuna baadhi ya familia za kiislamu mahari inapita iyo,na mtu unatoa kiroho safi tu
ni kweli....yupo mtoto wa ami yangu jamaa kadaiwa M 5 na katoa bila kupingwa yan
 
Inshort kwa Zanzibar ya sasa minimum mahar ni M 1.5 ila mara nyingi inazidi kuanzia M 2 na kuendelea

wapo waliobahatika chini ya hapo lkn ni wachache sana

Ukitaka kuoa utaambiwa ununue furniture Kitanda, kabati na dressing kama mahari, ukipiga hesabu kwa Zenji vitu quality utapata kwa jumla ya M 1.8 na zaidi
 
Alaf unakuta wahun wameisha kusaidia kumfumua malinda
Unajuwa unaweza kuwa umechanganya mahari ambao bibi harusi anapokea na kuna pesa unalipa lump sum ili inunue mahitaji yote ya bibi harusi kama mavazi na urembo kwa ajili ya bibi harusi. Kuna wengine wanatoa mahari lakini wanaita sanduku anatoa bwana harusi kwa hiyo ni yale makubaliano tu maana mwisho wa siku bibi harusi anamahitaji kama mwanamke nayo yana gharama.
 
Asalamu alaykum wana jukwaa pendwa la MMU natumai wote mubuheri wa afya.

Awali ya yote niwape hongera za dhati Waislam kwa utaratibu mzuri kuanzia kwenye posa yaani kuchumbia, ndoa na sherehe ya ndoa.
Nimeshuhudia haya kwa majirani, marafiki, jamaa na wafanyakazi wenzangu.

Tukianza na posa/kuchumbia gharama inarange elfu 20 hadi 50 hapa hamna mbwembwe za sherehe wala nini. Nina ushuhuda kwa jamaa yangu aliyeposa kwa elfu 30 tu na posa ikakubaliwa.

Kuhusu mahari hawa wenzetu bint muolewaji ndio anaetamka gharama ya mahari yake na mara nyingi gharama ni kati ya laki tano hadi milioni moja, na hapo ukiona inazidigi hadi milioni ujue ni kwasabubu ya vitu vya kimila na kitamaduni vya familia/kabila la huyo bint, vitu kama fimbo na kofia ya babu ama vitenge vya bibi n.k.
Ila sitosahau kuna mfanyakazi mwenzetu hapa alioa kwa mahari ya "MASAHAFU" yaani kile kitabu cha KURAANI chenye gharama ya elfu 25.

Ukija kwenye sherehe ya ndoa sasa kusherekea ni siku ile ya ndoa tu hakuna mlolongo wa michango na masherehe
Hakuna dini nlikuwa naichukia kama uislam, sababu hiyo ilinifanya nianze kuufuatilia sana ili kujiridhisha na nlichokuwa nakisikia na kukiona. Cha ajabu kwa sasa mimi ni mwislam bado kusilim tu. Uislam ndo dini ya kweli ya mwenyezi Mungu ambayo inafanya mambo yake kama Mungu alivyoagiza
 
Za wakristo unaziona zinadumu kwakuwa mnatakiwa imani yao ni mpaka kifo kiwatenganishe. Unafikiri wangekuwa na option ya kuachana hali ingekuwa kama hii.
Option ya talaka ipo tatzo ni masharti yake
 
kwel mzee ata mm nmeona sema ndo nshazitoa
kwenye hiyo pesa usikute wamejumuisha hadi pesa ya mambo ya milamila kama kaniki, kofia, kiko na vitenge vya mabibi na mababu wakati kiuhalisia sheria za Waislamu hazikubaliani na mambo hayo wenyewe huita BIDA.
 
Back
Top Bottom