Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Umepigwa😬😬😬Ila kwa Zenji mahadi ni kubwa mimi juzi tu nimelipa M 2 na laki 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepigwa😬😬😬Ila kwa Zenji mahadi ni kubwa mimi juzi tu nimelipa M 2 na laki 2
kwel mzee ata mm nmeona sema ndo nshazitoaUmepigwa[emoji51][emoji51][emoji51]
Alaf unakuta wahun wameisha kusaidia kumfumua malindaIla kwa Zenji mahadi ni kubwa mimi juzi tu nimelipa M 2 na laki 2
asee afu hiyo haina kulaumu ni kuuchuna tu huku unaumia kwa ndaniAlaf unakuta wahun wameisha kusaidia kumfumua malinda
Hapo unatoa mahari robo iyo inayobaki unawambia nabaki nayo kufidia aibu nitakayo ipata pindi binti yenu atakapoenda kujifunguaasee afu hiyo haina kulaumu ni kuuchuna tu huku unaumia kwa ndani
wala hajapigwa,iyo pesa mbona ndogo kuna baadhi ya familia za kiislamu mahari inapita iyo,na mtu unatoa kiroho safi tuUmepigwa😬😬😬
ni kweli....yupo mtoto wa ami yangu jamaa kadaiwa M 5 na katoa bila kupingwa yanwala hajapigwa,iyo pesa mbona ndogo kuna baadhi ya familia za kiislamu mahari inapita iyo,na mtu unatoa kiroho safi tu
Za wakristo unaziona zinadumu kwakuwa mnatakiwa imani yao ni mpaka kifo kiwatenganishe. Unafikiri wangekuwa na option ya kuachana hali ingekuwa kama hii.Angalia pia muda ambao hizo ndoa zinadumu
Ila pia kuachana ni rahisi.
Wakristo mpaka kupeana talaka ni shughuli pevu.
Kuowa rahisi, kuachana rahisi ila kuna process kidogo na kuzikana rahisi pia.Ila pia kuachana ni rahisi.
Wakristo mpaka kupeana talaka ni shughuli pevu.
Unajuwa unaweza kuwa umechanganya mahari ambao bibi harusi anapokea na kuna pesa unalipa lump sum ili inunue mahitaji yote ya bibi harusi kama mavazi na urembo kwa ajili ya bibi harusi. Kuna wengine wanatoa mahari lakini wanaita sanduku anatoa bwana harusi kwa hiyo ni yale makubaliano tu maana mwisho wa siku bibi harusi anamahitaji kama mwanamke nayo yana gharama.Alaf unakuta wahun wameisha kusaidia kumfumua malinda
Hakuna dini nlikuwa naichukia kama uislam, sababu hiyo ilinifanya nianze kuufuatilia sana ili kujiridhisha na nlichokuwa nakisikia na kukiona. Cha ajabu kwa sasa mimi ni mwislam bado kusilim tu. Uislam ndo dini ya kweli ya mwenyezi Mungu ambayo inafanya mambo yake kama Mungu alivyoagizaAsalamu alaykum wana jukwaa pendwa la MMU natumai wote mubuheri wa afya.
Awali ya yote niwape hongera za dhati Waislam kwa utaratibu mzuri kuanzia kwenye posa yaani kuchumbia, ndoa na sherehe ya ndoa.
Nimeshuhudia haya kwa majirani, marafiki, jamaa na wafanyakazi wenzangu.
Tukianza na posa/kuchumbia gharama inarange elfu 20 hadi 50 hapa hamna mbwembwe za sherehe wala nini. Nina ushuhuda kwa jamaa yangu aliyeposa kwa elfu 30 tu na posa ikakubaliwa.
Kuhusu mahari hawa wenzetu bint muolewaji ndio anaetamka gharama ya mahari yake na mara nyingi gharama ni kati ya laki tano hadi milioni moja, na hapo ukiona inazidigi hadi milioni ujue ni kwasabubu ya vitu vya kimila na kitamaduni vya familia/kabila la huyo bint, vitu kama fimbo na kofia ya babu ama vitenge vya bibi n.k.
Ila sitosahau kuna mfanyakazi mwenzetu hapa alioa kwa mahari ya "MASAHAFU" yaani kile kitabu cha KURAANI chenye gharama ya elfu 25.
Ukija kwenye sherehe ya ndoa sasa kusherekea ni siku ile ya ndoa tu hakuna mlolongo wa michango na masherehe
Option ya talaka ipo tatzo ni masharti yakeZa wakristo unaziona zinadumu kwakuwa mnatakiwa imani yao ni mpaka kifo kiwatenganishe. Unafikiri wangekuwa na option ya kuachana hali ingekuwa kama hii.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Uislam una "solution" ya kila tatizo la kimaisha yako ya kila siku. Wengine feki tu.
Sahihi kbs, za kikistro mkiachana ujiandae kurudisha michango ya watu..Ila pia kuachana ni rahisi.
Wakristo mpaka kupeana talaka ni shughuli pevu.
kwenye hiyo pesa usikute wamejumuisha hadi pesa ya mambo ya milamila kama kaniki, kofia, kiko na vitenge vya mabibi na mababu wakati kiuhalisia sheria za Waislamu hazikubaliani na mambo hayo wenyewe huita BIDA.kwel mzee ata mm nmeona sema ndo nshazitoa
MKE wako kakupiga,Ila kwa Zenji mahadi ni kubwa mimi juzi tu nimelipa M 2 na laki 2