Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 862
- 2,148
Hahaha unataka aweke vigezo wamuibukie PMMkuu,hakuna permanent status kwenye maisha ya binadamu.Una mchunguza leo,kesho anabadilika anakuwa tofauti na leo.Huwa kwa mfano wewe unachunguza kitu gani naomba ukiweke hapa,maana wananwake wengi hupenda kusema namchunguza,huwa mnachunguza kitu gani?