Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii

Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii

1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari

Usijesema hukuambiwa
Sasa hapo ataolewa na WA aina gani?
 
Porojo!!!!!?;
Mbona huku wanoana Tena kwa furaha na familia zinadumu.
 
Nkamu juzijuzi nilikutana na mtu mfupi akaanza kunga'ang'ania namba yangu nimpe
Nikamwambia kama wwe nashinda hii Mitaa basi tutaonana tu
Akakomaa nimpe
Nikampa
Sijafika hata nyumbani simu inaita kama ugomvi
Nikaiacha
Khaa!
Vina gubu
Bila Shaka na wewe unamiliki watu wabishi duniani 🤣🤣
 
Nkamu juzijuzi nilikutana na mtu mfupi akaanza kunga'ang'ania namba yangu nimpe
Nikamwambia kama wwe nashinda hii Mitaa basi tutaonana tu
Akakomaa nimpe
Nikampa
Sijafika hata nyumbani simu inaita kama ugomvi
Nikaiacha
Khaa!
Vina gubu
Nkamu my ribs lol.! 😹😹😹
Watu wafupi ni tatizo wananiboa kwenye ubishi tu..!

Sasa ikawaje?
 
Nkamu my ribs lol.! 😹😹😹
Watu wafupi ni tatizo wananiboa kwenye ubishi tu..!

Sasa ikawaje?
Nikasema uwii Mungu ndio umeniletea kituko gani hiki!
Mtu mfupi kama Selemani

Nilikalima block aisee
Sitaki dhambi
 
Sele again 😹😹😹
Huu mwaka sele hakuna sehemu atakayotokea 🤣
Yaani mtu namchungulia utosini
Kwanza alikuja na pigo za kishamba

Eti karibu ofisini kwetu
Hapo ndipo ofisini kwetu
Namuuliza wapi?ananionyesha hapo

Asichojua Mimi ndio nilikuwa nimetoka humo na watu wote nawajua yeye sijawahi kumuona.

Ndio kakaja kuomba namba
Kafupi yaani
Utadhani mtu na shangazi yake.
 
Back
Top Bottom