Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii

Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii

1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari

Usijesema hukuambiwa
Pia hakiisha huowi mwanamke wa aina hii
1.Mlevi
2.Nywele na kucha bandia
3.Anayeshinda kwenye mitandao muda wote na kila mtandao wa kijamii yumo.
4.Mwenye kiji elimu wengi wao hutaka kuleta mambo ya 50/50 na ujuwaji mwingi.
5.Mwenye marafiki wengi wa kiume.
6.Anayependa mitoko wiki endi tena ukute yeye ndiyo anapendekeza kutolewa out.
7.Anayefanya kazi za shift za kuingia usiku na kulala huko huko.
8.Anayevaa nguo za kubana na kuonyesha maungo yake kwa wanaume.
9.Mbishi na mjuwaji asiyekubali kuelekezwa na mwanaume mara moja jambo.
10.Bila kuwa sahau wale wa chora tatoo na wavaa vikuku na blich au rangi rangi kichwani.
Kati ya hao ukijichanganya nao umekwenda na maji labda kupiga na kusepa tuu ila si kwa matumizi ya maisha na kujenga Familia. Kama unazo zingine ongeza.
 
Seriously unakuaje mwanaume af hunywi pombe
Kwamba uanaume wako unategemea pombe ili uwe mwanaume.
Basi kuna mapungufu flani unayo maana huwa naona hata kuna jamaa zangu hawawezi kuongea mbele za watu mpaka wanywe hawana confidence.
Na kuna mambo yakawaida tu hawawezi fanya mpaka wanywe huu ni upungufu mkubwa nadhani uanaume wao unamashaka wanahitaji pombe ili wawe wanaume.
 
Namimi nasubiri jibu, japo niliwahi ambiwa na x wangu kuwa tusiokuwa walevi tuna vinyongo sana. Sijajua alichukua sample ya watu wangapi.
Inabidi umuulize kwa kweli. Mbona mimi sina?

Ninavyojua tusiokunywa tuna starehe zetu nyingine kabisa. 😂
 
Back
Top Bottom