ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sasa hapo ataolewa na WA aina gani?1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
Igweeeeeeeeeeee ๐๐๐๐Gubu + Ving'ang'anizi
mkitembea wote akifika kwa watu utasikia "msimuone hivi, huyu ndo mke wangu na ananieshimu sana" ๐
Bila Shaka na wewe unamiliki watu wabishi duniani ๐คฃ๐คฃ
Nkamu my ribs lol.! ๐น๐น๐นNkamu juzijuzi nilikutana na mtu mfupi akaanza kunga'ang'ania namba yangu nimpe
Nikamwambia kama wwe nashinda hii Mitaa basi tutaonana tu
Akakomaa nimpe
Nikampa
Sijafika hata nyumbani simu inaita kama ugomvi
Nikaiacha
Khaa!
Vina gubu
Nikikupenda siwezi kua mgumu kutoa pound labda kama sinaHapo inaonyesha vyote bro ๐น๐น
Sijui hata nimemuachaje jamaniMbona umemsahau shemeji yako hapo kumtag ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Mwenyewe nimeshangaa sanaMwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,๐
Nikasema uwii Mungu ndio umeniletea kituko gani hiki!Nkamu my ribs lol.! ๐น๐น๐น
Watu wafupi ni tatizo wananiboa kwenye ubishi tu..!
Sasa ikawaje?
๐๐๐ uongoNikikupenda siwezi kua mgumu kutoa pound labda kama sina
Nilivyoona huo uzi nikamkumbuka nikacheka Sanaโa sioni akitoka salama kabisaa ๐คฃ๐น๐นSijui hata nimemuachaje jamani
Ilitakiwa awe juu kabisa๐๐๐
Sele again ๐น๐น๐นNikasema uwii Mungu ndio umeniletea kituko gani hiki!
Mtu mfupi kama Selemani
Nilikalima block aisee
Sitaki dhambi
Kwel tena! Nikikuzoea sana nkaona no wandaz wallahi sikupi hela๐๐๐ uongo
Yaani mtu namchungulia utosiniSele again ๐น๐น๐น
Huu mwaka sele hakuna sehemu atakayotokea ๐คฃ
Eti MFALME WETUNilivyoona huo uzi nikamkumbuka nikacheka Sanaโa sioni akitoka salama kabisaa ๐คฃ๐น๐น
Unampa changamoto ๐น๐นKwel tena! Nikikuzoea sana nkaona no wandaz wallahi sikupi hela
Tulia ww labella mafiaUnampa changamoto ๐น๐น
Uchinjwe Xmas
Kuaibika ni dk moja tu, insecurities kibaoEti MFALME WETU
Wana siasa Wana shida gani?