joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
kwa utafiti wangu mdogo kabla ata sijaanza kunywa pombeMwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,😆
nilikuja kujua kuwa mabroo wanakunywa pombe wana roho safi sana
na sio hawa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa utafiti wangu mdogo kabla ata sijaanza kunywa pombeMwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,😆
Mkuu kwani huyo ni mwanaumeAsee Mwanaume unaongelea wanaume wenzako hivyo,upo sawa wewe kweli???
Au una shida shemu.
Wote apoWewe umeolewa na yupi ukajua hayo?
Haipingwi 💯kwa utafiti wangu mdogo kabla ata sijaanza kunywa pombe
nilikuja kujua kuwa mabroo wanakunywa pombe wana roho safi sana
na sio hawa wengine
1.asiekunywa pombe (sio mlevi)
2.mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7.mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
10.
11..
Hadi unaweka nadhiri inamaana wwe pombe unaipenda sana,sema inakutesa sana baada ya kuinywa,kwa hiyo unajilazimisha kuicha kwa nguvu sana kwa kutumia viapo ambavyo ndiyo nadhari yenyewe ili ujitishe mwenyewe na viapo vyako!!Nimeweka nadhiri.
Atakua mkatoliki huyo,pombe kwao fresh,japo ni kweli biblia haikataziMwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,😆
Pole ila utakuwa na shida maana haiwezekani wote wakutendee vibayaWote apo
Wapi uliona dada tajiri anaolewa? Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuoa na kuoanaRekebisha kichwa cha habari
Andika mwanamke maskini usikubali kuolewa na mwanaume wa Aina hii
Roho safi na kunywa pombe havihusiani ndugukwa utafiti wangu mdogo kabla ata sijaanza kunywa pombe
nilikuja kujua kuwa mabroo wanakunywa pombe wana roho safi sana
na sio hawa wengine
Wewe aliyekuoa ana sifa zipi.?1.asiekunywa pombe (sio mlevi)
2.mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7.mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
10.
11..
kwa upande wanguRoho safi na kunywa pombe havihusiani ndugu
Wapi uliona dada tajiri anaolewa? Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuoa na kuoana
Wewe umeolewaaa na sample ipi dada...1.asiekunywa pombe (sio mlevi)
2.mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7.mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
10.
11..
Namba 12Wewe umeolewaaa na sample ipi dada...
Mwenye hofu ya Mungu ndiyo mtu wa namna gani, maana naona kamsemo haka kanataka kujengewa mazoea hata na watu wasio elewa maana yake!1.asiekunywa pombe (sio mlevi)
2.mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7.mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
10.
11..
Mkuu sisi wafupi tumekukosea nini?!!!1.asiekunywa pombe (sio mlevi)
2.mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7.mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
10.
11..
Usijesema hukuambiwa