Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nipo kulewa, sina muda wa kuandika maandishi marefuMwenye hofu ya Mungu ndiyo mtu wa namna gani, maana naona kamsemo haka kanataka kujengewa mazoea hata na watu wasio elewa maana yake!
Nimeuliza hilo swali nipewe jibu yakinifu.
Vinginevyo nitajua kuwa haujui maana yake.
Muda wowote unakua mjaneMwanajeshi anashida gani hapo
Broo naomba tuheshimiane.1.asiekunywa pombe (sio mlevi)
2.mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7.mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
10.
11..
Usijesema hukuambiwa
Hiyo ni mipango ya munguMuda wowote unakua mjane
Iyo pepsi ipo kwa ajili yako usiejua ladha ya mvinyo, jongea tulainishe kooKama unalewa , Peps cola ya nini hapo au unakunywa na wanafunzi?
Sijawahi kunywa tangu nizaliwe.Hadi unaweka nadhiri inamaana wwe pombe unaipenda sana,sema inakutesa sana baada ya kuinywa,kwa hiyo unajilazimisha kuicha kwa nguvu sana kwa kutumia viapo ambavyo ndiyo nadhari yenyewe ili ujitishe mwenyewe na viapo vyako!!
Uzuri anajua n vigezo ganiMs R unaona mwanao anavyojitoa mchezoni
11Wewe umeolewa na waina gani kati ya hao mkuu??
K ni nini?Umewashindwa wewe tu sie tunawaweza vizuri hakuna mkate mgumu mbele ya chai, na uzuri inajulikana mwanaume ni mpenda k na heshima full stop
PapuchiK ni nini?
Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.
Hapa katupiga n kitu kizitoMwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,😆