Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ulitakiwa ufe singo, basi tu nilikuonea huruma🤣🤣🤣🤣Wafupi hatujawahi kupumua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitakiwa ufe singo, basi tu nilikuonea huruma🤣🤣🤣🤣Wafupi hatujawahi kupumua
Bado ni msamiati mgumu siajaelewa si unajua mi ni msomaliPapuchi
Uwezo wangu umeishia hapoBado ni msamiati mgumu siajaelewa si unajua mi ni msomali
Mwaga sifa zake bwana maana wanakwambia hayanaga muongozo haya
🤣🤣🤣🤣🤣 hii ni kweli kabisa.8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
Basi jina lingine kwa mara ya mwishoUwezo wangu umeishia hapo
Mlevi yuko radhi akununulie pombe na si chakulakwa upande wangu
Shindikana kama shindikana.Vigezo vitatu vimenitoa mchezoni mapema sana 🙌🙌
Kalale ukueBasi jina lingine kwa mara ya mwisho
Pochi manyoyaBado ni msamiati mgumu siajaelewa si unajua mi ni msomali
Unaringa weweKalale ukue
Ahaa nimekupataPochi manyoya
Kubeti hapanaAsiye bet sijamuona hapo.
Mleta uzi sio mke mzuri🤣Mwenye hofu ya Mungu wakati huo awe mlevi,😆
Mattecore yakoMleta uzi sio mke mzuri🤣
😀😀😀😀Wewe umeolewa na yupi ukajua hayo?
Na umejuaje kwa wanawake kama hazivumilik?.Hao wanaume niliowaongelea apo juu tabia zao hazivumiliki ata kwa sisi wanaume
Dada gani wewe huna upendo? Ungeniletea mchumba ningeshaingia kambani kilichobaki ni kulala tuShindikana kama shindikana.
Nimekalia hapa na ni magumu kama ya dereva wa malori😂😂😂Mattecore yako