Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii



Rekebisha kichwa cha habari
Andika mwanamke maskini usikubali kuolewa na mwanaume wa Aina hii
 
Wewe aliyekuoa ana sifa zipi.?
 
Wapi uliona dada tajiri anaolewa? Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuoa na kuoana

Hayo mambo yote aliyoandika ni ya mwanamke ambae Hana uwezo wa kujitegemea mwenyewe for anything

Wanawake wa hivyo ndio wanakuwa na hayo mawazo
 
Wewe umeolewaaa na sample ipi dada...
 
Mwenye hofu ya Mungu ndiyo mtu wa namna gani, maana naona kamsemo haka kanataka kujengewa mazoea hata na watu wasio elewa maana yake!

Nimeuliza hilo swali nipewe jibu yakinifu.

Vinginevyo nitajua kuwa haujui maana yake.
 
Mkuu sisi wafupi tumekukosea nini?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…