Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Vunga basi na weweBabe tena jina langu ni kapeace
Mbona kauzu hivyo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vunga basi na weweBabe tena jina langu ni kapeace
Nakubaliana nawewe mkuu. mfano uolewe na Pr janabi mtu anashindia maji ya vuguvugu8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
Uzuri tu najua nimebalance, watoto hawatakuwa wafupi kama mimi, ulivyopanda hewani imesaidia.😀😀😀Ulitakiwa ufe singo, basi tu nilikuonea huruma🤣🤣🤣🤣
Si kweli mnatusingizia tuNyie ni Azam Tv...Burudani kwa wote.
Jamaa ameongea ukweliSi kweli mnatusingizia tu
Nishamfata pm,kajieleza kwel na machozi juu Mpaji MunguMs R unaona mwanao anavyojitoa mchezoni
Hajui chochoteJamaa ameongea ukweli
Bora katushtua
Hajui chochote
Kwani kadanganya?Hajui chochote
😁😁Nishamfata pm,kajieleza kwel na machozi juu Mpaji Mungu
Huna hata namna ya kuthibitisha hili wala huwez kuleta proof juu ya hili. Kama unaweza fabya hivyoDaudi alikua mlevi mzuri tu ila ni miongoni mwa gurus wa dini ya kikristo
Watu kama wewe ni wale wenye strese sana. You will be fine! You will be fine!1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
hahaa hapo kwenye mfupi umemalza kaz 😄 nisiseme sana nikamalza. 😅1. Asiekunywa pombe (sio mlevi)
2. Mfupi (ukiolewa nae ndo utajua maana ya ndoa ndoano)
3. Asiekua na hofu ya Mungu
4. Bahili (kama haezi kukuhudumia kwenye uchumba sahau kutunzwa vizuri kwenye ndoa)
5. Mwenye hela (ambazo hujui chanzo chake)
6. Anaezingatia 50/50 (wale wa "mimi siwezi kuoa goalkeeper")
7. Mwanajeshi, Dereva, mwanasiasa, DJ, Daktari, Mganga wa kienyeji
8. Mwenye elimu kubwa sana mfano PhD holder [hawa akili zao hazipo sawa)
9.mcheza kamari
Usijesema hukuambiwa
Tembea tembea utakutana nao..Waolewaji wako wapi Sasa?, huwa watu wengi huvumiliana siku hizi.
Dah !!🤣🤣🤣 So Sisi sio wanaume!?Seriously unakuaje mwanaume af hunywi pombe
🤣Mkuu kwani huyo ni mwanaume