Hakikisha huolewi na wanaume wa aina hii

Kwa kweli una uzoefu wa kutosha wote hao washakuoa na kuachika aisee. Hizo ndoa zilikuwa zinadumu kwa muda gani dada?
 
Ulitakiwa ufe singo, basi tu nilikuonea huruma🀣🀣🀣🀣
Uzuri tu najua nimebalance, watoto hawatakuwa wafupi kama mimi, ulivyopanda hewani imesaidia.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Watu kama wewe ni wale wenye strese sana. You will be fine! You will be fine!
 
hahaa hapo kwenye mfupi umemalza kaz πŸ˜„ nisiseme sana nikamalza. πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…