Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

Muulize mkenda, alafu umuulize kama inawezekana kwanini anatudanganya watanzania.
Embu nijibu kuwa unafikiri Waziri anaweza kushindwa kumpigia Simu RAIS ? Unakumbuka hotuba ya RAIS ambayo alisema namna anavyopogiwa simu na Mheshimiwa waziri wa Fedha kuelezwa masuala mbalimbali ya wizara?
 
Hatuna Rais
 
My humble opinion, na si kwa ubaya.

Kuna uwezekano mkubwa Prof ameongea hayo out of akiwakilisha mawaziri wenzake ambao nao wanakutana na changamoto hiyo hiyo, ila Prof kafanya tu kufikisha ujumbe,, Bi Mkubwa na team yake wajue sasa wananchi tunajua namna anavyofichwa ili aweze timiza majukumu yake.

Hii haina tofauti na Mabeyo alivyosema Magu alivyomwambia in public, japo mengine aliyaficha. Au CDF Nkunda alivyotahadharisha swala la wahamiaji haramu ambao wako kwenye vyombo vya maamuzi.

Si kwamba Bi Mkubwa hana hizo taarifa, ila ni kama watu wanazichezea taarifa hizo bila kufanya chochote.
 
Siyo kweli na acha upotoshaji wako hapa wa kusema katibu wa Rais anamtenga na kumuweka mbali Mheshimiwa Rais na Mawaziri wake.
Katibu wa rais analalamikiwa na watu wengi tu, si kwenye hili la Mkenda tu.

Unabisha?
 
Uwe na adabu na uache kuropoka ropoka hapa kama toto lililokosa malezi ya wazazi wake.
Wewe ni choko mwenye njaa na tamaa nyie ndo mnaofirwa kirahisi kisa mpate teuzi za chama sijui mzaliwa wa wapi hizi kwenu hakuna wanaume wakufunze uvumilivu?
 
Alichoongea yupo sahihi ndio maana Nchi ina ujinga mwingi kwa sababu ninyi msiojua kitu ndio mnaandika andika hovyo na kuamini mnavyoandika mpo sawa..
 
Huyo Mama angekuwa na uvumilivu, Mzee Kibao na kina Soka wangekuwa huko waliko leo hii?

Acha ujinga!!
 
Kama waziri anazungushwa kumuona raisi,Je,kwa mwananchi wa kawaida aliyetokea huko Kolomije itakuwaje?!!!Hii nchi ni ya ajabu sana!!!
 
Embu nijibu kuwa unafikiri Waziri anaweza kushindwa kumpigia Simu RAIS ? Unakumbuka hotuba ya RAIS ambayo alisema namna anavyopogiwa simu na Mheshimiwa waziri wa Fedha kuelezwa masuala mbalimbali ya wizara?
Siwezi kukujibu am just a citizen kijana, and you being a teacher huwezi kuelewa hata ishu za madiwani zikoje, kaa kimya siku ukiteuliwa msemaji wa serikali au CCM popoma unavyofanya sasa.
 
Kama waziri anazungushwa kumuona raisi,Je,kwa mwananchi wa kawaida aliyetokea huko Kolomije itakuwaje?!!!Hii nchi ni ya ajabu sana!!!
Kwa hiyo wewe unataka utoke zako huko kolomijo na kwenda kuonana na Rais moja kwa moja Utafikiri unaingia sokoni? Kwani huko uliko hakuna viongozi? Umepita huko na ikashindakana kusaidiwa? Itakuwaje watanzania zaidi ya million 60 tukitaka kwenda Wote Ikulu kupeleka shida zetu na kuonana na Rais?
 
Kama angenyamaza tungejuaje kama kuna shida hata ofisi nyeti ya serkali waziri ambaye ndiyo mshauri wa rais kuingia kwa kibali? Hii ni insubordination kwa wananchi waliomchagua mbunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…