Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

Uongozi hatutumii hisia . Ukitumia hisia katika kuamua na kuzungumza utajikuta unaharibu kila kitu
Kuna point binadamu tukifika tunakuwa hatuna tofauti na wanyama wengine. Issue za uongozi ni ngumu sana. Kuna wakati unaona kabisa hili ni bomu linaenda kulipukia nchi ila kila ukijaribu kufikia ngazi za juu unawekewa vizingiti na watu wa protocol pamoja na wasaidizi wengine. Mambo ni mengi sana.

Amekosea yes ila naumelewa pia.
 
Kwani wewe unajua ukubwa wa akili zangu upoje? Au wewe mtu akiwa waziri unafikiria anakuwa tayari na akili nyingi kuliko watanzania wote hapa Nchini?
Kama kuna sheria ya maadili ya viongozi aliyoivunja tuwekee hapa, kinyume na hilo huna mamlaka ya kuhoji wala kumkosoa Profesa Adolf Mkenda, isipokua unayo tu hapa JamiiForum.
 
Wakina steve,mwijaku,shilole na bongo movie wakata mauno machawa wakati wowote wanaonana na mama bila kizingiti chochote wala maswali

Ova
 
Hivi hawa watu walikuwa akina nani? Mimi huwa nasikia fununu tu wakiwa wanamsingizia MUNGAI, lakini hadi leo sijwahi kuwafahamu kabisa
Acha yapite tu na tuendelee kumshukuru Mungu kwa kuendelea kulijalia Taifa letu amani na utulivu kwa kutuvusha katika nyakati ngumu .
 
Namuelewa sana Mkenda hali anayopitia sio mjinga kuamua kusema hadharani. Haya mambo ya uongozi yana madudu mengi ambayo huhatarisha uhai wa mtu na hata familia
Kwani amelazimishwa kuendelea kuwa waziri? Mbona Makamu wa Rais ameomba kupumzika baada ya kumalizika awamu hii. Sasa kama waziri amechoka kwanini asiombe kukaa pembeni ili waingie wengine
 
Lucas mkeo atapata tabu sana..!
Hutapata taabu hata kidogo ephen. Bali utasema na kuwaambia marafiki zako na ukoo mzima kuwa ni kwanini hukukutana na kujuana na mimi mapema .utahisi mimi ndio Dunia na Dunia ndio mimi na mimi ndio nimekupatia Dunia nzima uitawale na kuifurahia.
 
Kwani amelazimishwa kuendelea kuwa waziri? Mbona Makamu wa Rais ameomba kupumzika baada ya kumalizika awamu hii. Sasa kama waziri amechoka kwanini asiombe kukaa pembeni ili waingie wengine
Vipi kama lengo mojawapo ni hilo ila anapigwa pending kuonana na Rais na hao aliowasema? Unataka atoroke ofisi bila kufuata utaratibu? Wewe unaona jambo la kuomba kujiuzuru mwaka wa uchaguzi ni jepesi?
 
Ukiweka mezani boxi la plastiki transparent, moja hapa moja pale, limeandikwa Samia lingine Mkenda, halafu watu waambiwe wapite wadondoshe kikaratasi huku na kule, mbele ya TV, mwananchi mmoja mmoja mpaka asubuhi, unadhani tukija kuyamwaga tutakuta boxi la Samia lina vikaratasi vingapi ????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…