Hakuna aliyetaka Kumuua Godbless Lema. Tuambiane Ukweli tu

Hakuna aliyetaka Kumuua Godbless Lema. Tuambiane Ukweli tu

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Godbless Lema anapenda kujipa ukubwa au umuhimu ambao hana. Lissu ilikuwa auawe ni kweli na sababu ni pale alipoanza kutoa siri za ndani kwa wageni. Halikuwa jambo sahihi hata hivyo. So siungi mkono kumuua.

Lema hakukuwa na kusudio hilo hata wazo halikuwepo. Sema Lema anapenda sana ku trend na kujipa umuhimu ambao hana. Mambo kwa Lema yalishakuwa magumu akapiga hesabu akaona ni bora atoroke nchi.

Lakini amekuwa akitengeneza hadithi za kutaka kuuawa n.k ili aonekane alikuwa mtu mkubwa na muhimu. Ilhali ni mtu wa kawaida sana. Ambaye hata kichwani hana madini ukilinganisha na akina Tundu Lissu ambaye yupo well informed na educated.

Ifikie hatua tuambiane ukweli tu bila kuuma uma maneno.
 
Lema who? Lema which? Weka picha na wasifu wake wote tumfaham.

Tumeacha kazi zetu ili tusome ulichoandika... so weka picha, video n.k
 
Inawezekana ni Siasa kweli, ila inatakiwa tuwe makini sana kujadili hasa linapokuja suala la uhai wa mtu, kama Godbless alipata fununu alichokifanya alikuwa sahihi kuliko angepuuza na kutokea kweli
 
Mtoa hoja acha upumbavu na roho katili, Mr. SAANANE alitoa tamko humu kuwa maisha yake yapo hatarini, akapuuzwa na sasa yupo wapi?

Umetoa mada hii kwa sababu Mr. Lema, Mr.Saanane sio nduguzo au hawajui kwako ni kama statistics, ila kuna siku yatahit home kwako, hawa ni watanzania wenzetu regardless what.

Onyesha kuwa nawe ni binadamu mwenye Imani na roho ya kiutu, RCO dodoma he kicked the bucket!

Akawapambikie kesi huko jehanamu wanyonya damu wenzake
 
Lema anapenda kujipa ukubwa au umuhimu ambao hana. Lissu ilikuwa auawe ni kweli na sababu ni pale alipoanza kutoa siri za ndani kwa wageni. Halikuwa jambo sahihi hata hivyo. So siungi mkono kumuua.

Lema hakukuwa na kusudio hilo hata wazo halikuwepo. Sema Lema anapenda sana ku trend na kujipa umuhimu ambao hana. Mambo kwa Lema yalishakuwa magumu akapiga hesabu akaona ni bora atoroke nchi.

Lakini amekuwa akitengeneza hadithi za kutaka kuuawa n.k ili aonekane alikuwa mtu mkubwa na muhimu. Ilhali ni mtu wa kawaida sana. Ambaye hata kichwani hana madini ukilinganisha na akina Tundu Lissu ambaye yupo well informed na educated.

Ifikie hatua tuambiane ukweli tu bila kuuma uma maneno.
Asingeweza kuondoka nchini aache shughuli zake na kutumia gharama kubwa kukaa Canada kama kusingekuwa na tishio kwenye usalama wake.
 
Wewe akili yako Haina akili na ni kawaida kwa mafisiemu na masukumagang kujitoa ufahamu!

Lema ahitaji huruma yako na ni mtu mzima responsible for his life and actions.

Kama Lema mwenyewe anasema lilikuwa na tishio dhidi ya maisha yake wewe ni Nani mafii matupu kukataa?

Lema kazaliwa hapa, amekuwa mbunge kwa miaka 10 mbona huko nyuma hakuwahi kukimbia nchi?

Magufuli aliunda vikundi vya uhalifu wakiwemo kina Sabaya na MAKONDA wamefanya maovu ya kila aina yakiwemo mauaji!
 
Tatizo lako unataka ujuwe kuwa alitaka kuuwawa baada ya muhusika kufa.

Na kujua kwa namna hii hakuleti faida yoyote maana atakuwa keshauwawa
 
Back
Top Bottom