Hakuna aliyetaka Kumuua Godbless Lema. Tuambiane Ukweli tu

Hakuna aliyetaka Kumuua Godbless Lema. Tuambiane Ukweli tu

Lema anapenda kujipa ukubwa au umuhimu ambao hana. Lissu ilikuwa auawe ni kweli na sababu ni pale alipoanza kutoa siri za ndani kwa wageni. Halikuwa jambo sahihi hata hivyo. So siungi mkono kumuua.

Lema hakukuwa na kusudio hilo hata wazo halikuwepo. Sema Lema anapenda sana ku trend na kujipa umuhimu ambao hana. Mambo kwa Lema yalishakuwa magumu akapiga hesabu akaona ni bora atoroke nchi.

Lakini amekuwa akitengeneza hadithi za kutaka kuuawa n.k ili aonekane alikuwa mtu mkubwa na muhimu. Ilhali ni mtu wa kawaida sana. Ambaye hata kichwani hana madini ukilinganisha na akina Tundu Lissu ambaye yupo well informed na educated.

Ifikie hatua tuambiane ukweli tu bila kuuma uma maneno.
ni kweli hakuna bali alifilisika kabisa
 
Lema anapenda kujipa ukubwa au umuhimu ambao hana. Lissu ilikuwa auawe ni kweli na sababu ni pale alipoanza kutoa siri za ndani kwa wageni. Halikuwa jambo sahihi hata hivyo. So siungi mkono kumuua.

Lema hakukuwa na kusudio hilo hata wazo halikuwepo. Sema Lema anapenda sana ku trend na kujipa umuhimu ambao hana. Mambo kwa Lema yalishakuwa magumu akapiga hesabu akaona ni bora atoroke nchi.

Lakini amekuwa akitengeneza hadithi za kutaka kuuawa n.k ili aonekane alikuwa mtu mkubwa na muhimu. Ilhali ni mtu wa kawaida sana. Ambaye hata kichwani hana madini ukilinganisha na akina Tundu Lissu ambaye yupo well informed na educated.

Ifikie hatua tuambiane ukweli tu bila kuuma uma maneno.
Mtu usiyejulikana baking ukiwa hujulikani yaani huna maana
 
Labda useme hamna mawasiliano mazuri na wenzako kama mumemuua Ben wa saa 8 kwa kuhoji PhD tu mtashindwa kumuua lema aliyekuwa anawatoa kamasi.
Nasikitika sana kwa kifo cha Ben. Ben angalau alikuwa na akili ya kuhoji mambo ya maana. Lema mi sijawahi ona ana akili. ingawa yeye anadhani anazo.🤣
 
Mlisema na kukaza shingo kwamba hakukuwa na mtu anataka kumuua/kumteka/kumjeruhi Lissu.Na alitoa taarifa hadharani kuhusu hilo.Ben Saanane vilevile alisema kupokea vitisho vya kuuliwa.Baada ya kutokea yaliyotokea mkabadili simulizi kwamba Lissu amejipiga risasi na ujinga mwingi.Ifike mahali muache ujingaujinga ujinga.Ulikuwa naye kila sehemu aliyoenda?
LEMA HAKUWAHI TAKA UAWA. LEMA HAKUWAHI NA HATOWAHI KUWA TISHIO KISIASA. UNAJUA LEMA NI MWEPESI SANA KICHWANI. ILA ANAPENDA KUONGEA ONGEA TU. LABDA WAMUUE WATU WENYE UGOMVI NAYE. BUT KISIASA HAPANA.
 
Eleza na Roma Mkatoriki kulikuwa na umuhimu gani wa kumteka na mitutu ya bunduki na kukaa nae siku zote zile huku huku mateso na mahojiano yote yakijikita kuhusu tungo na mashaili ya nyimbo zake. IKUMBUKWE ROMA ALIVYUNJWA HADI KIDOLE NAALIONYESHA MICHUBUKO MINGI MGONGONI....NA WALICHUKUA VIFAA VYOTE MUHIMU PALE TONGO RECORDS KWA BIN LADEN...ETI ANATESWA KIASI KILE ILI ASEME TU KUWA CHADEMA NDO WANAMTUMA
Waliofanya ule uhuni WALAANIWE SANA. WAO NA WATOTO WAO.
 
Godbless Lema anapenda kujipa ukubwa au umuhimu ambao hana. Lissu ilikuwa auawe ni kweli na sababu ni pale alipoanza kutoa siri za ndani kwa wageni. Halikuwa jambo sahihi hata hivyo. So siungi mkono kumuua.

Lema hakukuwa na kusudio hilo hata wazo halikuwepo. Sema Lema anapenda sana ku trend na kujipa umuhimu ambao hana. Mambo kwa Lema yalishakuwa magumu akapiga hesabu akaona ni bora atoroke nchi.

Lakini amekuwa akitengeneza hadithi za kutaka kuuawa n.k ili aonekane alikuwa mtu mkubwa na muhimu. Ilhali ni mtu wa kawaida sana. Ambaye hata kichwani hana madini ukilinganisha na akina Tundu Lissu ambaye yupo well informed na educated.

Ifikie hatua tuambiane ukweli tu bila kuuma uma maneno.
 
NAAM KUMBE !, MBONA WE UNAFAHAMU VIZURI KILA KITU KWA NINI USIWASAIDIE KUUJUA UKWELI HATA LISSU UMESEMA ALITAKIWA KUUWAWA KWA SBB NI MTU WELL EDUCATED NA SABABU PIA WAIJUA.
 
Back
Top Bottom