Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Naona wengi humu mnamshambulia Lema bila facts wala evidence!
Lakini mwenzenu anahojiwa na vyombo vya habari ndani na nje na anatoa facts na evidence jinsi situation ilivyokua mpaka ikamlazimu kuchukua hatua kuokoa uhai wake!
Na ameeleza wazi vitisho vyote vya kuuwawa au kufungwa gerezani!!
NB; Nashauri nanyi leteni facts na evidence against Lema, itakua mmetusaidia wengine tusiojua!!!
Lakini mwenzenu anahojiwa na vyombo vya habari ndani na nje na anatoa facts na evidence jinsi situation ilivyokua mpaka ikamlazimu kuchukua hatua kuokoa uhai wake!
Na ameeleza wazi vitisho vyote vya kuuwawa au kufungwa gerezani!!
NB; Nashauri nanyi leteni facts na evidence against Lema, itakua mmetusaidia wengine tusiojua!!!