Hakuna aliyetaka Kumuua Godbless Lema. Tuambiane Ukweli tu

ni kweli hakuna bali alifilisika kabisa
 
Mtu usiyejulikana baking ukiwa hujulikani yaani huna maana
 
Labda useme hamna mawasiliano mazuri na wenzako kama mumemuua Ben wa saa 8 kwa kuhoji PhD tu mtashindwa kumuua lema aliyekuwa anawatoa kamasi.
Nasikitika sana kwa kifo cha Ben. Ben angalau alikuwa na akili ya kuhoji mambo ya maana. Lema mi sijawahi ona ana akili. ingawa yeye anadhani anazo.🤣
 
LEMA HAKUWAHI TAKA UAWA. LEMA HAKUWAHI NA HATOWAHI KUWA TISHIO KISIASA. UNAJUA LEMA NI MWEPESI SANA KICHWANI. ILA ANAPENDA KUONGEA ONGEA TU. LABDA WAMUUE WATU WENYE UGOMVI NAYE. BUT KISIASA HAPANA.
 
Waliofanya ule uhuni WALAANIWE SANA. WAO NA WATOTO WAO.
 
 
NAAM KUMBE !, MBONA WE UNAFAHAMU VIZURI KILA KITU KWA NINI USIWASAIDIE KUUJUA UKWELI HATA LISSU UMESEMA ALITAKIWA KUUWAWA KWA SBB NI MTU WELL EDUCATED NA SABABU PIA WAIJUA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…