Tetesi: Hakuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki anayehudhuria ufunguzi wa ikulu ya Dodoma siku ya leo. Walimwandikia rais Samia kuhusu hilo

Maaskofu wote wa Kanisa Katoliki Tanzania wako Rome, Italia pale Vatican...Jana walikuwa na kikao na Papa..
 
Tatizo ni nini sasa?Kwani lazima wawepo,waliopo wanatosha eeh
 
Wote wapo Vatican kwenye shughuli za kikanisa
 
Kiswahili sahihi ni kwamba walimpa taarifa kwamba wanaenda Vatican sio kumuomba udhuru, ukisema kuomba maana yake ulikuwa na uwezo wa kuzuia au kuruhusu.
 
Wapo na Mabeyo ROMA ITALY
Your browser is not able to display this video.


Wamemfungia Novena Bi TOZO
 
Sasa kama wameomba udhuru wewe unachokonoa nini wakati wenzio wapo hija yao kwa papa? Acha fitna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…