Wamejifunza ya nyuma sasa wanachukua tahadhari mapema kabisa..Ikulu mpya ya Dodoma inafunguliwa leo, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwa ni pamoja na viongozi wastaafu na viongozi wa dini.
Hukuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki kwenye ufunguzi huu! Wapo wapi?
Rais Samia amesema kuwa maaskofu walimwandikia barua kuomba udhuru kuwa watakwenda Roma kwa hija. Maaskofu Katoliki wote wapo Roma ambapo licha ya kufanya hija, watafanya mkutano wao wa Ad limina (mkutano wa kila baada ya miaka 5) na Baba Mtakatifu.
Mkuu mbona unawasemea. Wote wapo Roma kikazi maana wanamkutano na papa kila miaka mitano. Maaskofu waliopo nchini na wastaafu tu, na mstaafu kama haupo kwenye jimbo mahalia huwezi kufanya chochote bila ruhusa ya mwenye jimbo.Sio wote wako Roma. Wengi tu wamebaki nyumbani. Haiwezekani hata siku moja maaskofu wao wote wakawa sehemu moja kwa wakti mmoja hata kwenye sherehe zao wenyewe!
TECHhakuna hata padri wa kuwakilish? TEC wako wap?
Kwa taarifa tu, ata CDF mstaafu Mabeyo ameambatana a hao Maaskofu huko RomaMaaskofu wote walikuwa na ziara maalum Vatican na wamemaliza kikao maalum na Papa Francis. Hata katibu mkuu TEC yupo huko! Nafikiri jimbo kuu Dodoma watakuwa wametuma mwakilishi.
Time will teri kweli kweli !!Time will teri
Nilitegemea rangi ya mamlaka!!! Au kwakuwa Simba kaishia Robo fainali?....amesema kuwa maaskofu...
Sio kwa maaskofu wala mapadri wa Kanisa Katoliki...na asithubutuRais wa nchi ana uwezo wa kumzuia mwananchi yeyote asitoke nje ya nchi na ikawa hivyo.
Akyananiii umewaza kama mimi.Ikulu yenyewe utadhani ni gereza
Papa wanastaafu sembuse Maaskofu?Catholic wanastaafu kumbe!? Mi nilidhani kifo ndio mwisho wao.
Mathayo 16:23 NEN
Lakini Yesu akageuka na kumwambia Petro, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Wewe ni kikwazo kwangu. Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
Norbert Mtega si ni mgonjwa wa akili (KIFAFA) amepona lini??Walioenda Vatican ni maaskofu wote wa majimbo pamoja na mapadre wasimamizi wa majimbo yasiyo na maaskofu. Hata hivyo, Kuna maaskofu wengi wastaafu kama Mwadhama Polcarp Cardinal Pengo, Wahasham Maaskofu Wastaf Josephat Lebulu(ARUSHA), Damian Kyaruzi( Sumbawanga) na Nobert Mtega(Songea).
Badala yake TEC imewakilishwa na Padre. Yote ni mema.
Kama kanisa , tunaishukuru serikali kwa mwaliko.
Kile kipuuzi hata huo uaskofu kimejipachika kama akina Gwajima tuHivi kale kaaskofu kanakojiita Mwamakula sio kakatoliki kale?
Mabeyo kaenda kushtaki waliomuua jiwe.TECH
Kwa taarifa tu, ata CDF mstaafu Mabeyo ameambatana a hao Maaskofu huko Roma
Wewe ni padri?Kama kanisa , tunaishukuru serikali kwa mwaliko.
Canon Job Ndugai alikuwepo chamwino?!Kanisa Moja Takatifu la Mitume
Sidiefu mstaafu yuko huko pia
Wakatoliki siyo lopolopoHivi kale kaaskofu kanakojiita Mwamakula sio kakatoliki kale?
Mmezoea uzushi, fitna na uchochezi, mmevimbiwa amani. Km hawapo hoja kubwa ni nini.Ikulu mpya ya Dodoma inafunguliwa leo, viongozi mbalimbali wamehudhuria ikiwa ni pamoja na viongozi wastaafu na viongozi wa dini.
Hukuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki kwenye ufunguzi huu! Wapo wapi?
Rais Samia amesema kuwa maaskofu walimwandikia barua kuomba udhuru kuwa watakwenda Roma kwa hija. Maaskofu Katoliki wote wapo Roma ambapo licha ya kufanya hija, watafanya mkutano wao wa Ad limina (mkutano wa kila baada ya miaka 5) na Baba Mtakatifu.