Tetesi: Hakuna askofu yeyote wa Kanisa Katoliki anayehudhuria ufunguzi wa ikulu ya Dodoma siku ya leo. Walimwandikia rais Samia kuhusu hilo

We jibu hoja hizo, mimi mwenyewe huwa nasumbuliwa sana Kupeleka hayo mabahasha ya tengeneza jimbo, ukikataa mtaa mzima wanakuchukia na kukusema vibaya, basi inabidi utoe tu.., halafu wanaenda kuzichezea, inabidi tuseme
Wewe Muombe Mungu akuongezee Imani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…