Wewe Muombe Mungu akuongezee Imani.We jibu hoja hizo, mimi mwenyewe huwa nasumbuliwa sana Kupeleka hayo mabahasha ya tengeneza jimbo, ukikataa mtaa mzima wanakuchukia na kukusema vibaya, basi inabidi utoe tu.., halafu wanaenda kuzichezea, inabidi tuseme