Mkuu hapa hakuna anaemchukia Diamond wala hakuna anaetaka mmoja ashuke na mwingine abaki ni Watanzania wenzetu na tunahitaji waitangaze nchi yetu ila figisu figisu anazofanya Sallam kama alichukuliwa mkewe ndio sisi hatutakiMimi nilikua mshabiki mkubwa wa kiba hapo mwanzo, na nakiri nilikua simkubali Diamond kabisa, lkn ujio wa mara ya pili wa kiba baada ya kupotea kwa muda mrefu ulionyesha dhahiri amekuja kumkabili Diamond, maana alikua akipushiwa zaidi na watu wasiomkubali diamond, baada ya hapo matukio mengi yaliyotokea baada ya hapo likiwemo la mond kuzomewa Fiesta yalidhihirisha ujio wa pili wa kiba ulikua wa shari dhidi ya mond, baada ya mashabiki kumwambia yeye ni mkali kuliko mond, na hapa mm ndipo nilipomkataa rasmi Kiba na kuhamia kwa mond, washabiki walijitahidi kumbeba kila walivyoweza, ila mond anazidi kuchanja mbuga tena kwa kasi mara mbili ya mwanzo, tulipofika sasa Kiba amepoteza mashabiki wake wengi sana, na waliobaki wamechoka kumbeba, huku lengo la kumshusha mond likiwa halijatimia. hiki ndio kinachozidi kumchanganya kiba, matokeo yake anaongea vitu vya ajabu ajabu, amepoteza muelekeo hajui njia ya kupita ili amkute mond, maana yuko mbali sana, anachofanya ni kutafuta njia ya mkato ili amfikie, na hii si nyingine ni kujaribu kumshusha kwa kumchafua mbele ya mashabiki wa muziki, naiona hata hii njia ya mkato ikishindikana. Ally rudi nyuma tengeneza njia yako ili uende utakavyo, diamond kwa sasa muache tuu
Asante Mkuu kwa kutufumbua macho.Hii kitu sio mara ya Kwanza kutokea malumbano kati ya Ali na Sallam.
1.Show ya Tigo Dar es salaam
mwaka jana kwenye show ya Tigo ambayo wasanii A List wa bongo flava wote walikuwemo ila baada ya ile show ambayo Ali kama kawaida yake alikimbiza Sallam kesho yake alishinda huko Twitter akimkashifu na kumtukana Ali kuwa ni mchawi na muoga akitoa madai kuwa Ali na timu yake waliruka ukuta kuingia back stage na Ali akumsalimia msanii yoyote kule back stage japo walikuwepo wakina A.Y,Mwana da,Barnaba boy,Ben Pol,Ommy Dimpozi,Diamond na wasanii wengine Kibao.
Hapo ndio utashikwa na mshangao mambo ya Ali kuruka ukuta na kutomsalimia msanii yoyote ikiwa kweli au ni uongo yeye Sallam inamuhusu nini?!
Na mbona wasanii wengine au mameneja wao hawakuzungumzia ile kitu kwanini yeye imuume namna ile na kuropoka kwenye social network kwa kiasi kule??
2.Show ya ODM-Mombasa
Kukawa na Show nyingine Mombasa..Show ambayo haikuwa ya diamond lilikuwa ni Tamasha la Chama cha Siasa ODM cha bwana Raila Odinga na wasanii Kibao wa Mombasa walikuwepo na Diamond alienda pale kama msanii mualikwa.
Kumbuka kuwa Tamasha sio la Diamond ni la Chama cha ODM wenye tamasha Lao wakaamua kumualika na Ali kwa sababu Ali ndio msanii anaekubalika zaidi Kutoka afrika pale Mombasa.
Baada ya lile tamasha Sallam akulala alilalama usiku kucha kwanini hawakuambiwa kuwa Ali angekuwemo kwenye hilo tamasha..basi kama kawaida yake akamtukana Ali kumwita muoga mwenye kusafiria nyota ya Diamond na kusahau kabisa lile tamasha alikuwa la kwao wao bali ni Chama cha Siasa ODM na wote walikuwa waalikwa tu.
3.Coke Studio,Nairobi
Mwaka jana Ali alikuwa Coke studio na kina Neyo kule Kenya na Neyo alikuwa yupo tayari kufanya Solo project na Ali nje ya coke studio..Sallam akulala alifunga safari usiku usiku mpaka Nairobi akaenda kumtia maneno maneno Neyo na kuvuruga mipango yote ya Ali na Neyo...mwisho wa siku Neyo akafanya Solo project na Diamond badala na Ali Kiba kama Neyo mwenyewe alivyotaka.
4.Show ya Chriss Brown,Monbasa
Juzi tena show sio yake haimuhusu ila alishinda Back stage kutoa figisu figisu...Ali alitakiwa afanye live show..na kufunga vifaa vya live show ingechukua zaidi ya Dakika 30 pale jukwaani alafu Ali ndio apande na hilo alikuwa tatizo la Ali bali ni la waandaaji wa show na fundi mitambo walichelewa kufunga mitambo yao.
Wizkid afanyi live show Anafanya semi live show ambayo Inawekwa CD yenye beat tupu na yeye anaimba juu yake.
Ali akamshauri kwa kuwa kufunga mitambo itachukua muda mrefu basi ni bora Wizkid apande afanye semi live show kwa maana mpaka Wizkid akimaliza show yake wale mafundi watakuwa washamaliza kazi yao na Ali atapanda kupiga Live show sasa kilichotokea Sallam akamwambia Meneja wa Wizkid Mr.Sande kuwa asikubali hapo ndio ulipotokea mzozo kati ya Ali na Team ya wizkid wakiongozwa na mfitini Sallam.
Mwisho wa siku walipoteza zaidi ya Dakika 40 yote kutaka kumkomoa Ali kwa kitu ambacho kipo wazi kabisa.
Mpaka Ali alipopanda muda ulikuwa ushapita na kupelekea kuzimiwa Mic na team ya Chris Brown kwa sababu ndege ulikuwa inawasubiri Airport kuwarudisha marekani.
Mwisho wa siku hakuna Bifu kati ya Ali na Naseeb ni washkaji ila kuna Beef kati ya Ali na Sallam.
Umeamini majungu?Asante Mkuu kwa kutufumbua macho.
Mwana Dar slaamKweli we ni "mzaramo"
Nani kaanzisha lawama kwa mwenzieila kama mimi ningekuwa ali ningefanya kama alivyomfanyia ben pol, just saying inshaallah tu ingetosha wala hakukuwa na haja ya kujibizana na mtu
una album ngapi za alikiba?Ali Kiba hana tofauti na kocha wa Arsenal kazi yake ni kuwaumiza mashabiki wake na watu wamesha mshtukia
Ali kiba ni kubwa jinga kwanzia leo nimeamua kuacha kumshabikia na album yake nazipiga moto mchana huu!
Yaani wewe ni kama umenisemea mimi, zamani nilikuwa shabiki mkubwa wa Kiba, hata Album yake ya Cinderella nilinunua, Diamond sikuwa namkubali. Ila tangu nilipoiona ile interview yake na Sporah nikajikuta naanza kumtema polepole na kuhamishia mapenzi kwa Diamond, yaani alinichefua sana alipoanza kusema kizuri kisipokuwepo hata kibovu kitaonekana kizuri, hapo niliona jamaa anadharau, kwa maana hapo dharau zake hazikuwa kwa Diamond tu bali wasanii wote kwake anawaona hawajui, yeye tu ndio anajua. Jamaa mziki anauweza ila ana vitabia fulani siyo, pia hayuko siriaz kwenye kazi yake kama Diamond, anachukulia mambo kirahisi rahisi!Mimi nilikua mshabiki mkubwa wa kiba hapo mwanzo, na nakiri nilikua simkubali Diamond kabisa, lkn ujio wa mara ya pili wa kiba baada ya kupotea kwa muda mrefu ulionyesha dhahiri amekuja kumkabili Diamond, maana alikua akipushiwa zaidi na watu wasiomkubali diamond, baada ya hapo matukio mengi yaliyotokea baada ya hapo likiwemo la mond kuzomewa Fiesta yalidhihirisha ujio wa pili wa kiba ulikua wa shari dhidi ya mond, baada ya mashabiki kumwambia yeye ni mkali kuliko mond, na hapa mm ndipo nilipomkataa rasmi Kiba na kuhamia kwa mond, washabiki walijitahidi kumbeba kila walivyoweza, ila mond anazidi kuchanja mbuga tena kwa kasi mara mbili ya mwanzo, tulipofika sasa Kiba amepoteza mashabiki wake wengi sana, na waliobaki wamechoka kumbeba, huku lengo la kumshusha mond likiwa halijatimia. hiki ndio kinachozidi kumchanganya kiba, matokeo yake anaongea vitu vya ajabu ajabu, amepoteza muelekeo hajui njia ya kupita ili amkute mond, maana yuko mbali sana, anachofanya ni kutafuta njia ya mkato ili amfikie, na hii si nyingine ni kujaribu kumshusha kwa kumchafua mbele ya mashabiki wa muziki, naiona hata hii njia ya mkato ikishindikana. Ally rudi nyuma tengeneza njia yako ili uende utakavyo, diamond kwa sasa muache tuu
Punguza Jazba mkuu tense taratibu....Neyo alikubali kufanya kazi na Ali na alikuwa fresh kufanya kazi na Diamond pia....ila Sallam alivuruga yote hayo baada ya kufika Nairobi na kuona Neyo akishangaa uwezo wa ajabu wa Ali kama alivyoshangaa R.Kelly mwaka ule
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtoa mada Mimi nipo Mombasa , hakuna msanii anaetupa burudani kama Diamond kinachofanya Ali aje sana huku ni kwamba ni bei chee kumuita
Kwahiyo wewe ndo unajua ambacho kilitokea kuliko management ya Kiba mwenyewe?! Achakujitoa ufahamu wewe!!!! Hivi unazima mic mbele za watu pangekosekana japo mtu mmoja ambae ni shabiki wa Kiba akatoa ushuhuda kwamba ni Sallam ndie kazima mic? Yaani media zoooooooooooooooote za Kenya hamna hata moja ambayo ipo upande wa Kiba hata wasiseme ukweli? Ukitoa Kiba mwenyewe; ni nani mwingine ambae amesema suala la Sallam kuzima mic? Au huko backstage hakukuwa na mtu mwingine?! Unatia aibu halafu unajifanya unajua mambo ya muziki... unajua mambo ya muziki au unajua mambo ya husuda!Mkuu hapa hakuna anaemchukia Diamond wala hakuna anaetaka mmoja ashuke na mwingine abaki ni Watanzania wenzetu na tunahitaji waitangaze nchi yetu ila figisu figisu anazofanya Sallam kama alichukuliwa mkewe ndio sisi hatutaki
Hivi huyo Kiba amewahi kufanya collabo kubwa na nani hadi ionekane kuna watu waliziba collabo yake na Ne-Yo?!Punguza Jazba mkuu tense taratibu....Neyo alikubali kufanya kazi na Ali na alikuwa fresh kufanya kazi na Diamond pia....ila Sallam alivuruga yote hayo baada ya kufika Nairobi na kuona Neyo akishangaa uwezo wa ajabu wa Ali kama alivyoshangaa R.Kelly mwaka ule
Kumbe watu wenyewe si lolote si chochote; sasa povu lote la nini jombaa? Inakuaje tena mtu ambae si lolote si chochote ameweza kumfanyia figisu Kiba kwa Ne-Yo?hivyo ndivyo mnavyojidanganya ndio maana hata Sallam interview nzima anang'ang'ania kusema kama Ali ana shida ya kusaidiwa amwambie amsaidie eboooooo kwani yeye Sallam ni nani kwenye Bongo flava?!
Wanajiona kama wao ndio wenye Hati miliki na bongo flava...hawajui kuwa ilipokuwepo toka Fella akiwa anapiga watu washawasha mitaa ya Woodstock,Cape Town.
Enzi hizo Babu Tale akijaribu kuimba na kina Madee zama hizo Sallam ni Meneja Moro United...Bongo flaba ulikuwepo na Ali Kiba alikuwepo wasiojone wao ndio GoodFather wa hii kitu.
Wewe bado sijajua jinsia yako..Yaani inawezekana vipi utake Mwanaume mwenzio awe na tabia zenye kukufurahisha kwani mumeo huyo?!Yaani wewe ni kama umenisemea mimi, zamani nilikuwa shabiki mkubwa wa Kiba, hata Album yake ya Cinderella nilinunua, Diamond sikuwa namkubali. Ila tangu nilipoiona ile interview yake na Sporah nikajikuta naanza kumtema polepole na kuhamishia mapenzi kwa Diamond, yaani alinichefua sana alipoanza kusema kizuri kisipokuwepo hata kibovu kitaonekana kizuri, hapo niliona jamaa anadharau, kwa maana hapo dharau zake hazikuwa kwa Diamond tu bali wasanii wote kwake anawaona hawajui, yeye tu ndio anajua. Jamaa mziki anauweza ila ana vitabia fulani siyo, pia hayuko siriaz kwenye kazi yake kama Diamond, anachukulia mambo kirahisi rahisi!
Acha kukurupa mkuu na punguza Jazba wapi niliposema kuwa Sallam alizima Mic?!Kwahiyo wewe ndo unajua ambacho kilitokea kuliko management ya Kiba mwenyewe?! Achakujitoa ufahamu wewe!!!! Hivi unazima mic mbele za watu pangekosekana japo mtu mmoja ambae ni shabiki wa Kiba akatoa ushuhuda kwamba ni Sallam ndie kazima mic? Yaani media zoooooooooooooooote za Kenya hamna hata moja ambayo ipo upande wa Kiba hata wasiseme ukweli? Ukitoa Kiba mwenyewe; ni nani mwingine ambae amesema suala la Sallam kuzima mic? Au huko backstage hakukuwa na mtu mwingine?! Unatia aibu halafu unajifanya unajua mambo ya muziki... unajua mambo ya muziki au unajua mambo ya husuda!