Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
CCM iko tayari kuungana na CHADEMA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True,Kwasababu chama makini ni chadema tu.
Utapata wapi chama makini Tanzania zaidi ya chadema?

Tumeambiwa hata CCM ni chama Cha upinzani kikiongozwa na Dola(serikali)..hakuna demokrasia ndani yake!hakipo chama cha siasa cha upinzani nchini,
kitathubutu kuacha mipango na malengo yake kuungana na kibaka wa kisiasa na tapeli wa siasa za Tanzania chadema![]()