Hakuna faida ya kumpeleka mtoto English Medium (mabasi ya njano)

Hakuna faida ya kumpeleka mtoto English Medium (mabasi ya njano)

Kusoma vitabu ni ugonjwa kwetu si unafahamu mkuu? Au ni ngozi nyeusi na maandishi wana ugomvi??
Ni kweli ila maarifa mengi yamefichwa kwenye vitabu mkuu. Kuna watu wamezaliwa wana akili nyingi sana ila sio wasemaji. Ila wanaandika vitabu mawazo yao. Sasa ukiwa mpenz wa kusoma vitabu sana utajua vitu vingi sana.
 
Huitaji kujua kiingereza cha muingereza wewe ili ufanikishe mambo yako. Mhindi ana kiingereza chake mkenya mnaigeria mchina nk. Unachotakiwa ni kujua unachotakiwa kuongea na sehem gan sahihi pa kuongelea. Mi mara kibao nanunua mizigo viwandan wachina mpaka imebid tujue lugha yao maana hawajui kiingereza kabisa. Akijua ni kiingereza cha kichina hakipo popote.
Ni kweli kabisa kwenye lugha hapo. Ndio maana wafanyabiashara wengi hawana elimu kubwa kivile lakini wanatoboa tu kwa basics za kawaida kabisa
 
Ni kweli lakini maarifa anayapata sana kuliko huyu wa mtaani. Ganja ni dawa siunajua, ofkoz waheshimiwa wengi tu wanatumia. Maarifa kwanza, wanaotoboa kutoka kayumba kwenda mbele zaidi ni wachache kuliko wa private uongo?
Mmh shida ni wazazi kuspend hela ndefu wakat mwisho wa siku kazi hamna bora hzo hela umuwekeze huyo mtoto
Mtoto kama anajitambua atatoboa tu mbona wapo wa gvt wengi wametoboa
 
Ni kweli ila maarifa mengi yamefichwa kwenye vitabu mkuu. Kuna watu wamezaliwa wana akili nyingi sana ila sio wasemaji. Ila wanaandika vitabu mawazo yao. Sasa ukiwa mpenz wa kusoma vitabu sana utajua vitu vingi sana.
Uvivu wa kusoma vitabu mbaya sana. Kuna kitabu niko nasoma tu kwa kuongeza maarifa, miaka kadhaa nyuma nilifanyia mtihani lakini matokeo yalikua hafifu sana. Sasa leo nipo chapta kadhaa mbele najiuliza nilipataje matokeo mabovu vile kitu kirahisi hivi asee.........uvivu wa kusoma
 
Kuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana.

Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora.

Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo anayesoma English medium na anaesoma Changamkeni wote wanakula makapi na uchafu wa mfumo wa elimu ya hapa Tz.

Utofauti mdogo pekee uliopo wa anaesoma English medium na Changamkeni ni kukajua kakiingereza ka hovyo ka kuombea maji na kuita dad na mum basi.

Ila viwango vya ujinga na upumbavu vilivyo athiriwa na mfumo takataka wa elimu ya Tanzania wote vipo sawa baina ya anaesoma English medium na anaesoma Changamkeni.
Tutawapeleka sana,pesa ni zetu
 
Mmh shida ni wazazi kuspend hela ndefu wakat mwisho wa siku kazi hamna bora hzo hela umuwekeze huyo mtoto
Mtoto kama anajitambua atatoboa tu mbona wapo wa gvt wengi wametoboa
Wengi tumepita huko mkuu, shida sio kusoma kayumba ujue. Mzazi nae ana nafasi kama unavosema, kuspend kwa sasa huwezi kwepa mana vizuri gharama. Hiyo uwekezaji lazima umfundishe pia kitu ambacho wazazi wengi pia hawafanyi. Ni mbaya sana, succession plan hakuna.....wengi wameachiwa mali nyingi tu lakini wamezifuja na kupoteza zote
 
Mmh shida ni wazazi kuspend hela ndefu wakat mwisho wa siku kazi hamna bora hzo hela umuwekeze huyo mtoto
Mtoto kama anajitambua atatoboa tu mbona wapo wa gvt wengi wametoboa
Hapana mtu aliyeelimika kaelimika kaka. Shule muhim mno aisee. Pale kkoo walikuwepo wazazi waliowaachia watoto wao manyumba lakin zote zimeuzwa kaka.
 
Kuna huu mkumbo tulionao watu weusi wa kuigana igana mambo hata yasiyo na maana.

Hapa nitazungumzia huu mtindo walionao wazazi wengi kupeleka watoto wao English medium kwa minajiri kwamba wakapate elimu bora.

Inshort hakuna faida yoyote ya kumpeleka mtoto English medium kwa elimu ya bongo anayesoma English medium na anaesoma Changamkeni wote wanakula makapi na uchafu wa mfumo wa elimu ya hapa Tz.

Utofauti mdogo pekee uliopo wa anaesoma English medium na Changamkeni ni kukajua kakiingereza ka hovyo ka kuombea maji na kuita dad na mum basi.

Ila viwango vya ujinga na upumbavu vilivyo athiriwa na mfumo takataka wa elimu ya Tanzania wote vipo sawa baina ya anaesoma English medium na anaesoma Changamkeni.
Mkuu nimekuelewa vizuri japo watu wanajibu kimihemko


Hoja ya msingi ni kwamba mfumo wetu wa elimu ni mbovu sana


Hivyo elimu inayotolewa katika shule za English na Swahili medium zote zimebase katika kukariri vitu visivyo na application katika maisha

Kibaya zaidi ajira kwa sasa ni ngumu, hivyo hata kama mtu atasoma English medium hatatoka na kitu ambacho kitamjengea uwezo wa kujiajiri au kupambana na harakati za mtaani


NB: Mada hii haiwahusu wale wazee wa connection

Pia yote kwa yote English medium itabaki kuwa English medium


Nadhani mtoa mada ulitakiwa kuelezea udhaifu wa mfumo wa elimu wa Tanzania bila kuhusisha English medium


TUTAFUTE PESA WAJUBA, HATA KAMA HAMNA AJIRA ILA MTOTO WAKO APATE RAHA KATIKA KUSOMA


SIO KUSOMA APATE SHIDA, AKIMALIZA CHUO APATE SHIDA MTAANI, SIO POA
 
Hapana mtu aliyeelimika kaelimika kaka. Shule muhim mno aisee. Pale kkoo walikuwepo wazazi waliowaachia watoto wao manyumba lakin zote zimeuzwa kaka.
Nimefatilia convo hizi u a de among of intelligent person......

Nmetoka kumwambia jamaa mmja apo juu mzaz ukiamua na ukielewa dunia ya leo bas una haja ya kumpambania mwanao elimu

Kusoma shule standard English medium/private anapata kujua lugha vzr, ujasri wa kujieleza, smartness n.k

Watu wamekariri ety ajira..... Sawa ajira hazipo km mzaz lzm umwandae mtoto wako pia ktk Hilo ...... Leo mwanangu akasome gender dvpt..... Akat Kuna BUSNESS ADMINSTRATION, ECONOMY anaeza kuwa competent na expert mzurii kweny industry ya biashara
 
Mkuu nimekuelewa vizuri japo watu wanajibu kimihemko


Hoja ya msingi ni kwamba mfumo wetu wa elimu ni mbovu sana


Hivyo elimu inayotolewa katika shule za English na Swahili medium zote zimebase katika kukariri vitu visivyo na application katika maisha

Kibaya zaidi ajira kwa sasa ni ngumu, hivyo hata kama mtu atasoma English medium hatatoka na kitu ambacho kitamjengea uwezo wa kujiajiri au kupambana na harakati za mtaani


NB: Mada hii haiwahusu wale wazee wa connection

Pia yote kwa yote English medium itabaki kuwa English medium


Nadhani mtoa mada ulitakiwa kuelezea udhaifu wa mfumo wa elimu wa Tanzania bila kuhusisha English medium


TUTAFUTE PESA WAJUBA, HATA KAMA HAMNA AJIRA ILA MTOTO WAKO APATE RAHA KATIKA KUSOMA


SIO KUSOMA APATE SHIDA, AKIMALIZA CHUO APATE SHIDA MTAANI, SIO POA
Umesomeka vyema wewe umenipata
 
Sasa Kama haujiu kingereza utabaki bila kuelewa vitu maana huwezi pata Maarifa siri na password zipo umo katika kingereza.
 
Nimefatilia convo hizi u a de among of intelligent person......

Nmetoka kumwambia jamaa mmja apo juu mzaz ukiamua na ukielewa dunia ya leo bas una haja ya kumpambania mwanao elimu

Kusoma shule standard English medium/private anapata kujua lugha vzr, ujasri wa kujieleza, smartness n.k

Watu wamekariri ety ajira..... Sawa ajira hazipo km mzaz lzm umwandae mtoto wako pia ktk Hilo ...... Leo mwanangu akasome gender dvpt..... Akat Kuna BUSNESS ADMINSTRATION, ECONOMY anaeza kuwa competent na expert mzurii kweny industry ya biashara
Thanks bro. Nimegundua hii dunia wala huitaji mafuta wala gesi ili kuendelea aisee. Unachotakiwa ni upeleke watu wako shule tu kama Israel. Unawekeza kwenye brain displin na sheria na exposure basi. Kila kitu kinanyooka mkuu.
 
Thanks bro. Nimegundua hii dunia wala huitaji mafuta wala gesi ili kuendelea aisee. Unachotakiwa ni upeleke watu wako shule tu kama Israel. Unawekeza kwenye brain displin na sheria na exposure basi. Kila kitu kinanyooka mkuu.
Ndo hv kk..... Km anatak mtt akae kushikilia urith badala ya kuuendeleza aibu.....
Nshamwambia jamaa mmj Tanzania hatujafkia hatua ya watt kukataa kusoma shida kaona..... Jamaake ana duka basii au flan hajaajiriwa lkn elimu ni muhimu.... Sana
 
Back
Top Bottom