Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #121
Duuh dunia kuna nyakati ipo unfair kama hiyo issue na ile issue ya kenya.Zote zipo unfair kwa wahanga mkuuHapana walimdeport kumrudisha kwao. Senator hakuwahi kushitakiwa kabisa na polisi wanadai sio suspect ila private investigator na dereva wa zamani wa senator na yule kijana akiyekuwa deported wanaamini aliyemuua yule mrembo ni senator.
Senator inaelekea alimuua kuficha uhusiano wao maana alikuwa binti wa kiaka 21 wakati senator ana umri mkubwa
Au kuna nyakati ili kuua lazima uwe insane kidogoKweli mkuu.
Mkuu wewe mpekuzi mpaka issue hii unaijua???😎😎😎😎@william ruto kwani uongo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitende tofauti na hayo,,naweza kusamehe ila siyo kutaka kuni-lawiti,,kuni-ua,,au ku-ua familia yangu,,kamanda apo ubindamu nauweka pembeni.Si mungu anasema tusamehe mkuu???
Nakazia tu mkuu; Na ndio maana siku zote watu wanamwomba Mungu kusitokee vita kwani vita huacha maumivu makali zaidi kuliko yale yatokanayo na risasi na mabomu.Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.
Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.
Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.
Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.
Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.
Unaushaihidi? Tuanzie hapoJe Magufuli alijisikiaje baada ya kuwaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda?
Halafu sijui baada kufeli kumuua Tundu Lissu alijionaje?
Upo sahii mkuu.Tunajadili tu ya walimwenguUmeongea kwa uelewa wako ila sio uelewa wa watu wote
Dunia ina watu zaid ya 7 billion je unazan wote wana experience km yako je unazan wote wanahisia km zako
Swali zuriUnaushaihidi? Tuanzie hapo
Kwahiyo kwenye vita watu huishi na hatia siku zote???Nakazia tu mkuu; Na ndio maana siku zote watu wanamwomba Mungu kusitokee vita kwani vita huacha maumivu makali zaidi kuliko yale yatokanayo na risasi na mabomu.
Sawa mkuu mimi nakuelewaNitende tofauti na hayo,,naweza kusamehe ila siyo kutaka kuni-lawiti,,kuni-ua,,au ku-ua familia yangu,,kamanda apo ubindamu nauweka pembeni.
Yeah from A to Z ila nanyamazaga tu alafu I'm from tz nashaangaa wakenya wasiomjua huyu jamaa kiundani na wanaishi nae karibu what a lossMkuu wewe mpekuzi mpaka issue hii unaijua???😎😎😎😎
Usikaze fuvu kama mtoto mdogo wwUnaushaihidi? Tuanzie hapo
Sio tu wakili watu wengi tu kawapeleka kaburini bila hatia yeye pamoja na moi 🤮🤮🤮 acha tu ni uozo mkubwa sana afadhali kidogo kenyatta na kibakiKuhusu yule wakili mdau???
Hii issue ipo deep sana.Vp kesi ipo MAHAKAMANIYeah from A to Z ila nanyamazaga tu alafu I'm from tz nashaangaa wakenya wasiomjua huyu jamaa kiundani na wanaishi nae karibu what a loss
Ref Jacob juma
Namaanisha baada ya vita watu hai hubaki na maumivu makali zaidi ya yale maumivu ya risasi na mabomu(war trauma) i.e. Athari za kisaikolojia zitokanazo na vita e.g. watu wameona maiti zilizoharibiwa, watu wameona wapendwa wao wakiuliwa waziwazi, watu wamenusurika kifo kiajabu-ajabu n.k.Kwahiyo kwenye vita watu huishi na hatia siku zote???
Kwani alikua mpambe wa moi???Sio tu wakili watu wengi tu kawapeleka kaburini bila hatia yeye pamoja na moi 🤮🤮🤮 acha tu ni uozo mkubwa sana afadhali kidogo kenyatta na kibaki
Haaah nimekuelewa mkuu.Kumbe kuona mtu aliyekufa vitani kunaweza kukuharibu kisaikolojia???Namaanisha baada ya vita watu hai hubaki na maumivu makali zaidi ya yale maumivu ya risasi na mabomu(war trauma) i.e. Athari za kisaikolojia zitokanazo na vita e.g. watu wameona maiti zilizoharibiwa, watu wameona wapendwa wao wakiuliwa waziwazi, watu wamenusurika kifo kiajabu-ajabu n.k.
Wanaua bila purpose ndo wanapatwa na hayo uliyoyasema ila wanaoua kwa justifiable reasons kama uhai wa watu wengine hao hata hawasumbuki.....Guilty ndo inayomaliza sasa ukiwa umeua ligaidi utapata wapi guiltyKivipi kaka???