Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Duuh dunia kuna nyakati ipo unfair kama hiyo issue na ile issue ya kenya.Zote zipo unfair kwa wahanga mkuu
 
Umeongea kwa uelewa wako ila sio uelewa wa watu wote
Dunia ina watu zaid ya 7 billion je unazan wote wana experience km yako je unazan wote wanahisia km zako
 
Nakazia tu mkuu; Na ndio maana siku zote watu wanamwomba Mungu kusitokee vita kwani vita huacha maumivu makali zaidi kuliko yale yatokanayo na risasi na mabomu.
 
Kwahiyo kwenye vita watu huishi na hatia siku zote???
Namaanisha baada ya vita watu hai hubaki na maumivu makali zaidi ya yale maumivu ya risasi na mabomu(war trauma) i.e. Athari za kisaikolojia zitokanazo na vita e.g. watu wameona maiti zilizoharibiwa, watu wameona wapendwa wao wakiuliwa waziwazi, watu wamenusurika kifo kiajabu-ajabu n.k.
 
Haaah nimekuelewa mkuu.Kumbe kuona mtu aliyekufa vitani kunaweza kukuharibu kisaikolojia???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…