acha hasira ndugu ndiyo inawapoteza wewe mwanasiasa na ugaidi ndani wapi na wapi?CCM wanasiasa safi ipi? Mboga mboga wewe
walikuwa wanatoa msimamo wa chama eti kwa yule gaidi wao atoke jela mwacheni ahukumiweUnaandika kana kwamba watu wote walikua wanafuatilia hio taarifa, Hakuna jipya kwenye nini? Chadema kila siku kuna mapya mengi tu.
Nitaamini wakirusha Channel Ten,wewe sikuamini huwa hubalance story ikauzika kwa mlajinimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
inamaana chanel ten ataongea tofauti na alichokiongea dar mpya tv?Nitaamini wakirusha Channel Ten,wewe sikuamini huwa hubalance story ikauzika kwa mlaji
angalau ana nidhamu hapo angekuja kuongea mdude yaani duuuu angewaharibia kabisa nafikiri watakuwa wamemuonya aache ujinga wake katuliaHakuna kitu hapo. Kimsingi JJ Mnyika ame play safe, hajaaamrisha maandamano kwa kuwa anajuwa athari za maandamano haramu. Kwa wanachama watakao andamana itakuwa ni dhamira yao binafsi na siyo Chama. Yeye amawatahadharisha tu. Huyu Mnyika ni HAZINA nzuri ya kuwa Mwenyekiti wa CDM baadaye.
Kama JF Ina mwanachama ana sababu za kuandamana next Thursday, namshauri sababu hizo azipeleke Mahakamani ndiko shauri la Mbowe lilipo.
wakwanza erythrocyte kaishiwa pozi siku hiziKukamatwa kwa Mbowe na kusambaratika kwa chama chake, imekuwa pigo kubwa kwa wanaharakati koko ambao waliishi kwa kutegemea mfuko wake. Bavicha wengi walienda msalani kutokana na vijiela vya bwana mkubwa...
Hahahaha.. dada anaonekana ana elimu kiasi fulan na ni mtu anaejitegemea. Mpaka sasa sijaelewa Mbowe alitumia dawa gani kumnasa kizembe zembe mtu anaejitambua kama yeye.wakwanza erythrocyte kaishiwa pozi siku hizi
CCM wanasiasa safi ipi? Mboga mboga wewe