Hakuna jipya katika hotuba ya Mnyika na Waandishi wa Habari

MATAGA mna shida kwenye medula.
Ulitaka atangaze uasi?
wapumbavu kweli nyie vijana wa MATAGA
 
Nimeanza kusoma ninafikiri una la maana kumbe ni ushabik tu. Bure kabisa.
 
HUTUBIA NA WEWE TULIONE JIPYA
 
Mnyika kakurupuka leo baada ya jana walipopigwa mkwara na kigogo twita kuwa hawajatoa tamko na atawasema siku akikutana na mbowe..mnyika anaongea kwa ukali maazimio laini yasiyo na chochote kipya ndani
 
katiba katiba katiba
 
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. Bila mitutu ya bunduki za polisi CCM hii ni sawa na TLP ya Mrema.
 
acha hasira ndugu ndiyo inawapoteza wewe mwanasiasa na ugaidi ndani wapi na wapi?
Majaribio yenu Kwa Namna nyingine tangu mlipodhani mtauwa upinzani ili mdumu kuwa madarakani mwabambikia Keshi Za ugaidi.Nchi mwaitangaza kuwa Na magaidi kumbukeni wakati WA Nyerere vijana waliteka ndege Kwa kutumia bomu la embe!
 
Majaribio yenu Kwa Namna nyingine tangu mlipodhani mtauwa upinzani ili mdumu kuwa madarakani mwabambikia Keshi Za ugaidi.Nchi mwaitangaza kuwa Na magaidi kumbukeni wakati WA Nyerere vijana waliteka ndege Kwa kutumia bomu la embe!
Na wale mahaini salender ilikuwaje eti
 
Mnyika kakurupuka leo baada ya jana walipopigwa mkwara na kigogo twita kuwa hawajatoa tamko na atawasema siku akikutana na mbowe..mnyika anaongea kwa ukali maazimio laini yasiyo na chochote kipya ndani
Katibaaaaaaa!
 
Hauna akili kama Gwajima.
 
Post ya kizwazwa namba moja katika wiki yote hii.
 
Inaonesha kijana ulipita Shuler kuupata cheti.
 
Kama unataka jipya nenda ukanunue dukani. Tangia lini mzee CCM akawa na jipya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…