Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
MATAGA mna shida kwenye medula.nimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
HUTUBIA NA WEWE TULIONE JIPYAnimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
Anakujibu kwa hasira kama wewe ndo ulimkamata Mbowe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha hasira ndugu ndiyo inawapoteza wewe mwanasiasa na ugaidi ndani wapi na wapi?
Mnyika kakurupuka leo baada ya jana walipopigwa mkwara na kigogo twita kuwa hawajatoa tamko na atawasema siku akikutana na mbowe..mnyika anaongea kwa ukali maazimio laini yasiyo na chochote kipya ndaninimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
Hawajapata teuzi?Kumbe ila hawa walikuwa na jipyaView attachment 1875162
katiba katiba katibanimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala. Bila mitutu ya bunduki za polisi CCM hii ni sawa na TLP ya Mrema.nimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
Majaribio yenu Kwa Namna nyingine tangu mlipodhani mtauwa upinzani ili mdumu kuwa madarakani mwabambikia Keshi Za ugaidi.Nchi mwaitangaza kuwa Na magaidi kumbukeni wakati WA Nyerere vijana waliteka ndege Kwa kutumia bomu la embe!acha hasira ndugu ndiyo inawapoteza wewe mwanasiasa na ugaidi ndani wapi na wapi?
Na wale mahaini salender ilikuwaje etiMajaribio yenu Kwa Namna nyingine tangu mlipodhani mtauwa upinzani ili mdumu kuwa madarakani mwabambikia Keshi Za ugaidi.Nchi mwaitangaza kuwa Na magaidi kumbukeni wakati WA Nyerere vijana waliteka ndege Kwa kutumia bomu la embe!
Katibaaaaaaa!Mnyika kakurupuka leo baada ya jana walipopigwa mkwara na kigogo twita kuwa hawajatoa tamko na atawasema siku akikutana na mbowe..mnyika anaongea kwa ukali maazimio laini yasiyo na chochote kipya ndani
CCM wana siasa safi gani?Umechanganyikiwa?wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
nimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
Post ya kizwazwa namba moja katika wiki yote hii.nimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
Inaonesha kijana ulipita Shuler kuupata cheti.Hahahaha.. dada anaonekana ana elimu kiasi fulan na ni mtu anaejitegemea. Mpaka sasa sijaelewa Mbowe alitumia dawa gani kumnasa kizembe zembe mtu anaejitambua kama yeye. Nikisema alimnasa kwa dawa siamini uchawi, nikisema alimnasa kwa maneno matupu pia naona dada yetu sio mtu wa kudanganywa na kiongozi aina ya Mbowe.. yan mpk leo nimekosa jibu... Kweli ndege mjanja siku zote ananasa kwenye tundu bovu!
Kama unataka jipya nenda ukanunue dukani. Tangia lini mzee CCM akawa na jipya?nimesikiliza hotuba ya mnyika kwa wanahabari yaani inaonyesha tayari wameshamtosa mwenyekiti wao na hawana maaamuzi tena hapo ndiyo kila mtu anakufa na mzigo wake nawapa pole sana wanachadema wote na niwaombe tu wafanye siasa za kistaarabu kuliko kuingiza na mambo ya ugaidi ndani yake wajifunze kwa ccm siasa safi watakuja kufikia malengo yao
Kama yapi?...Chadema kila siku kuna mapya mengi tu.
Eti siasa Safi za ccm zipi za kutekana na kupiga wapinzani risasi au za kutumia tiss kuiba kura