Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Jambo lafiki,
Katika malaisi waliowahi kupita Tansania hakuna kama Laisi Samia. Sisi wamasai tunampenda kuliko makabila yote.
Kwansa, tumefulahi sana anavyoongosa kwa haki na demokrasia.
Pili, tunafulahia kututoa mapolini huko Ngorongoro ambako hakukuwa na Huduma sa muhimu kama maji, umeme, mabarabara, mashule, mahospitali nk.
Laisi ametuleta mjini na kutupa maeneo ya bulee kabisaa.
Sasaivi tunaishi kisasa na hatujitengi tena na makabila mengine.
Mama aendelese kushikilia hapohapo.
Mungu ibariki Tansania
Mungu mbariki Samia
Katika malaisi waliowahi kupita Tansania hakuna kama Laisi Samia. Sisi wamasai tunampenda kuliko makabila yote.
Kwansa, tumefulahi sana anavyoongosa kwa haki na demokrasia.
Pili, tunafulahia kututoa mapolini huko Ngorongoro ambako hakukuwa na Huduma sa muhimu kama maji, umeme, mabarabara, mashule, mahospitali nk.
Laisi ametuleta mjini na kutupa maeneo ya bulee kabisaa.
Sasaivi tunaishi kisasa na hatujitengi tena na makabila mengine.
Mama aendelese kushikilia hapohapo.
Mungu ibariki Tansania
Mungu mbariki Samia