Hakuna kauli nyingine za kuombeleza kifo kwa Waswahili zaidi ya hizi

Hakuna kauli nyingine za kuombeleza kifo kwa Waswahili zaidi ya hizi

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kila mara mtu anapofariki Waswahili huwa hawakosi hii misemo,

1. Maisha ni fumbo,
2. Tumeumbiwa kifo,
3. Kifo ni kitendawili
4. Tunatembea na kifo
5. Mbele yake nyuma yetu( hii hata huwa sielewei inamaanisha nini)

Mtu anapokufa unatakiwa kusikitikia marehemu na waliobaki, sio kujisikitikia wewe mwenyewe na kuanza kujipa matumaini ya kifo chako.
 
Kila mara mtu anapofariki Waswahili huwa hawakosi hii misemo,

1. Maisha ni fumbo,
2. Tumeumbiwa kifo,
3. Kifo ni kitendawili
4. Tunatembea na kifo
5. Mbele yake nyuma yetu( hii hata huwa sielewei inamaanisha nini)

Mtu anapokufa unatakiwa kusikitikia marehemu na waliobaki, sio kujisikitikia wewe mwenyewe na kuanza kujipa matumaini ya kifo chako.
Kifo ni somo kwa walio baki sio kwa marehemu.
 
Kila mara mtu anapofariki Waswahili huwa hawakosi hii misemo,

1. Maisha ni fumbo,
2. Tumeumbiwa kifo,
3. Kifo ni kitendawili
4. Tunatembea na kifo
5. Mbele yake nyuma yetu( hii hata huwa sielewei inamaanisha nini)

Mtu anapokufa unatakiwa kusikitikia marehemu na waliobaki, sio kujisikitikia wewe mwenyewe na kuanza kujipa matumaini ya kifo chako.
utakufaje
 
Bongo kila mtu anakufa kifo cha kushtukiza🤣

Ndo maana kiboko ya wachawi akisema anafufua watu kuna vichwa panzi wanaamini
 
Kauli za kupeana moyo, kifo ni kitu kizito kuliko vyote kwa maisha ya viumbe wote. Bila kuufariji moyo huwezi kuhimili.
Mbona zimekaa mkao wa kukata tamaa?!
 
Kila mara mtu anapofariki Waswahili huwa hawakosi hii misemo,

1. Maisha ni fumbo,
2. Tumeumbiwa kifo,
3. Kifo ni kitendawili
4. Tunatembea na kifo
5. Mbele yake nyuma yetu( hii hata huwa sielewei inamaanisha nini)

Mtu anapokufa unatakiwa kusikitikia marehemu na waliobaki, sio kujisikitikia wewe mwenyewe na kuanza kujipa matumaini ya kifo chako.
nenda komred wa ccm
 
Namba 5 huwa Nyuma yake mbele yetu mkuu sio ulivyoandika.

Maana yake ni kama mko kwenye foleni, nyuma ya mtu wa mbele yako ni mbele yako wewe, ni kama wote safari yetu moja
 
Back
Top Bottom