Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ile kumbe alikuwa anatuaga😅😅Wengine wanajiongeza siku hizi wanasema "umejua kutuliza"
Anha, hiyo kauli ni rahisi kujichanganya kama ile ya "mfupa hauna ulimi"Namba 5 huwa Nyuma yake mbele yetu mkuu sio ulivyoandika.
Maana yake ni kama mko kwenye foleni, nyuma ya mtu wa mbele yako ni mbele yako wewe, ni kama wote safari yetu moja
Zote ni kauli za kuufariji moyo, maumivu yanayokuwepo baada ya kumpoteza mtu wa karibu hayawezi kuelezeka.Sema hata tutamkumbuka daima, hatasahaulika mioyoni mwetu, a life well lived...
Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.Kila mara mtu anapofariki Waswahili huwa hawakosi hii misemo,
1. Maisha ni fumbo,
2. Tumeumbiwa kifo,
3. Kifo ni kitendawili
4. Tunatembea na kifo
5. Mbele yake nyuma yetu( hii hata huwa sielewei inamaanisha nini)
Mtu anapokufa unatakiwa kusikitikia marehemu na waliobaki, sio kujisikitikia wewe mwenyewe na kuanza kujipa matumaini ya kifo chako.
Ongezea.Kila mara mtu anapofariki Waswahili huwa hawakosi hii misemo,
1. Maisha ni fumbo,
2. Tumeumbiwa kifo,
3. Kifo ni kitendawili
4. Tunatembea na kifo
5. Mbele yake nyuma yetu( hii hata huwa sielewei inamaanisha nini)
Mtu anapokufa unatakiwa kusikitikia marehemu na waliobaki, sio kujisikitikia wewe mwenyewe na kuanza kujipa matumaini ya kifo chako.
Tatizo lako hilo, siyo langu.Sijui Kiarabu
Hii ndiyo mbaya mbovu kuliko zote. As a matter of fact, hizo zingine hazina tatizo lolote.Hii angalau ni sawa kwa maana ya kwamba unamsikitikia marehemu na kumtakia pumziko hasa kama una imani ya kidini.