Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli

Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli

Kipindi cha uhai na alipo kufa sikuumia wala sikufurahi ila nilishangaa sana na kuwa shuhuda kuona rais anafia madarakani,ila baada ya kifo chake na kuona jinsi serikali imegeuka kuwa ya porojo na wizi na ufisadi hakika kila nikimkumbuka jpm nalia sana moyoni.
 
Muda ni mwalimu mzuri sana umetufundisha kuwa Magufuli alisingiziwa mengi
 
Kipindi cha uhai na alipo kufa sikuumia wala sikufurahi ila nilishangaa sana na kuwa shuhuda kuona rais anafia madarakani,ila baada ya kifo chake na kuona jinsi serikali imegeuka kuwa ya porojo na wizi na ufisadi hakika kila nikimkumbuka jpm nalia sana moyoni.
Ufisadi ni zamu kwa zamu kwa Serikali za Afrika. Mbona JPM pia alikuwa fisadi tena kushinda waliomtangulia? Au na wewe ni mmoja wa wazembe wanaoamini kuwa Magufuli alikuwa mzalendo? Wake up dude
 
Ufisadi ni zamu kwa zamu kwa Serikali za Afrika. Mbona JPM pia alikuwa fisadi tena kushinda waliomtangulia? Au na wewe ni mmoja wa wazembe wanaoamini kuwa Magufuli alikuwa mzalendo? Wake up dude

Hakuna mahali nimesema jpm alikua mzalendo,ila kwa yale machache aliyoyafanya na kuyaanzisha katika taifa hili inatosha sana kutambua jpm alikua ni rais aliyeipenda sana nchi yake na wananchi hasa katika suala la maendeleo jumuishi.

Huwezi linganisha na upotolo wa serikali ya 2,4 na hii ya 6 zimejaa wizi,ufisadi,unafiki na uzandiki.

Jpm hakuwa mkamilifu ili alikua mchapakazi na alisimamia alichokiamini.
 
Maandiko kama haya ndo huwa yananifanya niamini kweli wanawake wanaishi kwa hisia zaidi ya uhalisia wa mambo yanavyopaswa kuwa.

Wanaume yatupasa kuishi kwa akili nyingi sanaaa na hawa viumbe.

Unaumia kuliko kifo cha Mtu aliyeshiriki na mama yako kukuleta duniani??
 
Hakuna mahali nimesema jpm alikua mzalendo,ila kwa yale machache aliyoyafanya na kuyaanzisha katika taifa hili inatosha sana kutambua jpm alikua ni rais aliyeipenda sana nchi yake na wananchi hasa katika suala la maendeleo jumuishi.

Huwezi linganisha na upotolo wa serikali ya 2,4 na hii ya 6 zimejaa wizi,ufisadi,unafiki na uzandiki.

Jpm hakuwa mkamilifu ili alikua mchapakazi na alisimamia alichokiamini.
Ni mawazo yako na una haki kuyasimamia. Ila kwa taarifa yako UFISADI wa JPM ni mkubwa kuliko ufisadi wa marais wote waliomtangulia ukiwekwa kwa pamoja. Nikukumbushe tu ripoti ya CAG ya 2017-18 kulikuwa na Tsh 2.4 Trillion unaccounted. Prof Assad alipohoji akamsitishia mkataba.

Utabisha kwa kuwa wewe ni brainwashed na propaganda alizowajaza nyie wajinga
 
Ni mawazo yako na una haki kuyasimamia. Ila kwa taarifa yako UFISADI wa JPM ni mkubwa kuliko ufisadi wa marais wote waliomtangulia ukiwekwa kwa pamoja. Nikukumbushe tu ripoti ya CAG ya 2017-18 kulikuwa na Tsh 2.4 Trillion unaccounted. Prof Assad alipohoji akamsitishia mkataba.

Utabisha kwa kuwa wewe ni brainwashed na propaganda alizowajaza nyie wajinga

Hakuna mahali nimesema jpm alikua msafi,nachosema ni jinsi alivyoamua kuipambania nchi yake ipate maendeleo jumishi,angalia miradi aliyoaanzisha,angalia miundombinu aliyojenga,alifufua atcl,alifufua mashirika mengi ya umma,

Naitazama ile nia ya kuona nchi inanyanyuka kutoka katika umasikini,hii nia huwezi ipata kwaviongozi wengi wa afrika.

Kwangu mimi naiona chuki na wivu wa hali ya juu dhidi ya jpm umekufanya umekua kipofu.

Ila ukweli upo wazi na unasemwa kila siku na wananchi.
 
Maandiko kama haya ndo huwa yananifanya niamini kweli wanawake wanaishi kwa hisia zaidi ya uhalisia wa mambo yanavyopaswa kuwa.

Wanaume yatupasa kuishi kwa akili nyingi sanaaa na hawa viumbe.

Unaumia kuliko kifo cha Mtu aliyeshiriki na mama yako kukuleta duniani??
who knows labda mama yake alimwambia sio baba yake na mama yake alikuwa hamjui baba yake halisi, nduli alikuwa na michepuko ya kutosha, inawezekana huyu ni mmoja wao.
 
Namaanisha hata Mungu anashuhudia!

Niwe wazi, hata kifo cha baba yangu sikuumia moyo kwa kiwango kama ilivyokuwa kwa Hayati Magufuli!

R.I.P JPM.

R.I.P BABA.
Afya ya akili yako haiko vizuri yaani mtu baki uumie kuliko baba yako. Kapimwe utibiwe
 
Jpm alibeba sauti za wanyonge, kauli zake zilibeba mamlaka.

Walimuua wakatoa maneno ya kejeli eti kafa kwa Covid-19.

Wakenda mbali wakasema wazuri hawafi!

Allah amenyakua mmojawapo! Jina lake lihimidiwe.

Bullshit!
Wanyonge gani kama aliwanyima watumishi wa umma stahiki zao za kisheria wakati naye alikuwa mwalimu. Mtu akipata mataji hulia mbwata.
 
Na kama kuna mkono wa mtu huyo mtu akatwe vibande vidogo, vifungwe kama kirobo, kitupwe katikati ya bahari penye kina kirefu ili afutike kabisa katika uso wa dunia.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
who knows labda mama yake alimwambia sio baba yake na mama yake alikuwa hamjui baba yake halisi, nduli alikuwa na michepuko ya kutosha, inawezekana huyu ni mmoja wao.
[emoji23][emoji23][emoji23] kweli aisee
 
Back
Top Bottom