Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikir shetani Ni mbaya Kama ulivyo aminishwa? Sku ukijua shetan na Mungu wanasaidiana ili ww ukamilike utakataa?Nafsi haifi uenda sehemu mbili kulingana na matendo yako kuzimu au paradiso.Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu,dini halikupeleki mbinguni,true freemason wameanzisha 93% ya dini zote duniani Ili watu wamuabudu shetani kupitia Mungu
Mtoa mada yupo sahihi ata Mungu Ni energy never created no destroyedMtoa mada BABU wa BABU yako kwa sasa yupp wapi? Au ndo ime transform energy to another form?
So walikufa wanabadilika. Sawa hebu weka ushahisi wa walobadilkaMtoa mada yupo sahihi ata Mungu Ni energy never created no destroyed
Una change kutoka form ya mwili una kua kwenye soul hii kitu unaweza experience mwenyewe kwenye high level of meditationSo walikufa wanabadilika. Sawa hebu weka ushahisi wa walobadilka
Hizo roho ndo zimefika mwisho au inabadilika tena?Una change kutoka form ya mwili una kua kwenye soul hii kitu unaweza experience mwenyewe kwenye high level of meditation
Zinabadilika in seven times tunasema binadamu ili akamilike anakua kwenye seven state hii kitu unaweza jua peke yako bila kuambiwaHizo roho ndo zimefika mwisho au inabadilika tena?
Ukifa unakuwa roho....baada ya hapo?Zinabadilika in seven times tunasema binadamu ili akamilike anakua kwenye seven state hii kitu unaweza jua peke yako bila kuambiwa
Ndo maana Kuna wengine wnateka kwa damu hzo second form baada ya kufa kwa njia ya matambiko ili ziweze kuwasaidia mambo flan coz hyo form inakua na nguvu Zaid kuliko form ya physical body , kila form inazidiana viwango ukifika form ya saba unakua umerudi from original ambapo kunakua na energy kubwa iliyotengeneza energy zote , apo energy zote zinakutana , kwenye dini wameweka mfumo wa Mungu ili akili yako ambayo ipo inform of physical ielewe zaidZinabadilika in seven times tunasema binadamu ili akamilike anakua kwenye seven state hii kitu unaweza jua peke yako bila kuambiwa
Baada ya apo utakua manifest Tena in physics form ili kucomplete cycle of creation, nafikiri nikisema cycle unaelewaNdo maana Kuna wengine wnateka kwa damu hzo second form baada ya kufa kwa njia ya matambiko ili ziweze kuwasaidia mambo flan coz hyo form inakua na nguvu Zaid kuliko form ya physical body , kila form inazidiana viwango ukifika form ya saba unakua umerudi from original ambapo kunakua na energy kubwa iliyotengeneza energy zote , apo energy zote zinakutana , kwenye dini wameweka mfumo wa Mungu ili akili yako ambayo ipo inform of physical ielewe zaid
Mbona at the end Mungu atamdestroy shetani.Unafikir shetani Ni mbaya Kama ulivyo aminishwa? Sku ukijua shetan na Mungu wanasaidiana ili ww ukamilike utakataa?
Spirit au roho yako na yenyewe ni atom? Unapata theory moja from a material world unataka kuja ku iapply kwenye spritual world unafikiri itafanya kazi...Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")
Kufa ni neno linalomaanisha kusitisha kuwepo katika hali ya sasa. Kwa mfano mtu anakufa; mmea unakufa; gari linakufa. Huwezi ukasema mti haujafa kwa kuwa tu kuna mbao zilizotokana na mti huo; au kuna mkaa uliotokana na kuchomwa kwa mti huo.Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")
Umewahi kuingia kwenye Hekalu la Freemason?Hakuna kifo ni mafundisho toka kwenye mahekalu ya freemason. Shetani anasema hakika hamtakufa