Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
izo dhahania mi uwa sizielewagi kabisa. mara Mungu na shetani wapo sehem moja na wanazungumza fresh tu, na wanatambishiana kuwa leo nimewapata wafuasi kadhaa mara kakosa wafuasi wachache,Mbona at the end Mungu atamdestroy shetani.
Shetani ajawahi mpenda mwanadamu,hana fadhila,anakutumia kisha anakuua
Shetani Ni Nini unanafikiriMbona at the end Mungu atamdestroy shetani.
Shetani ajawahi mpenda mwanadamu,hana fadhila,anakutumia kisha anakuua
Kiumbe kilichoasi kinachoshawishi watu kutenda mabayaShetani Ni Nini unanafikiri
Sina hajaUmewahi kuingia kwenye Hekalu la Freemason?
Umefundishwa hivyo tu Ila sio uhalisia hakuna kitu kibaya dunian vyote vipo ili kukamilisha maana ya maisha , ubaya na uzuri hukamilisha maana ya maishaKiumbe kilichoasi kinachoshawishi watu kutenda mabaya
Matter can neither created nor destroyedSo life was not created?
Haya ni mafundisho ya freemason kitengo cha dini,Mungu afungamani na uovuizo dhahania mi uwa sizielewagi kabisa. mara Mungu na shetani wapo sehem moja na wanazungumza fresh tu, na wanatambishiana kuwa leo nimewapata wafuasi kadhaa mara kakosa wafuasi wachache,
Kabla ya shetani ubaya aukuwepo dunianiUmefundishwa hivyo tu Ila sio uhalisia hakuna kitu kibaya dunian vyote vipo ili kukamilisha maana ya maisha , ubaya na uzuri hukamilisha maana ya maisha
Umejuaje?Kabla ya shetani ubaya aukuwepo duniani
Wakati naandika hapa sikuwa nimesoma thread zote , so nimerudia ulichosema hapo juu.Umefundishwa hivyo tu Ila sio uhalisia hakuna kitu kibaya dunian vyote vipo ili kukamilisha maana ya maisha , ubaya na uzuri hukamilisha maana ya maisha
Kupitia maandiko na bila maandiko piaUmejuaje?
Mwanzao 2:7 inasema "Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai"Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")
Kifo ni neno tu ambalo tumelifanya limekuwa na vibration kuubwaaa, kiasi kwamba watu wengi wanaliogopoa. Ila halina uhalisia, ni illusion.
Hakuna kufa.
Ulishawahi kwenda kwenye mazingaumbwe?illusion wakati mtu anakata moto mbele yetu tunaona na tunaenda kuzika na anaoza mpaka anaisha
Kuna jamaa nimemjibu hapo juu.Kea hyo wwnaokufa wanalala?
Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")