- Thread starter
- #61
Tuandikie ukweli unaojuaKashetani kaongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuandikie ukweli unaojuaKashetani kaongo
Si ndo huo umlioandika msiokufa.Tuandikie ukweli unaojua
Life and death are The realm of eternity!Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")
Go read the Bible huku ukimuomba Mungu anayezungumziwa kwenye Bible, yaani Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akueleweshe nini unasoma. hizo ambiguities zote zitaondoka. namna nyingine ni kuisoma hiyo Bible huku ukiuliza kwa wanaosoma kuhusu ambiguities na ukiwa na spirit ya kujifunza. utafahamu mengiizo dhahania mi uwa sizielewagi kabisa. mara Mungu na shetani wapo sehem moja na wanazungumza fresh tu, na wanatambishiana kuwa leo nimewapata wafuasi kadhaa mara kakosa wafuasi wachache,
We undergo transformation.Wanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")
Kwa hiyo earth na sun ndio only components za hii universe?!!Wewe ni Nani ?, Who are You ?
Huo mkono, mguu au (Kama wanaweza kuondoa hio miguu na mikono na bado ukabaki kama wewe basi huenda wewe sio miguu wala mikono)
Nadhani wewe ni fikra zako na inteligensia yako au lack of..., kwahio kama kweli tukiweza kuamisha fikra zetu, feelings na state of being kutoka kwenye one body to another au hata kuziweka kwenye usb drive till further download..., then and only then we will live until the Sun Fuel is finished and the Earth Collapse hapo we will have no space to occupy so we will vanish
Unless tupate another universe
subiri ile siku unatolewa roho ndo utajua kua hamna au kifo kipoWanasema we are made of atoms 100%, na atoms are forever and you can't destroy it, sasa kifo kinatoka wapi kama kila kitu from galaxies mpaka miili yetu yote na kila kitu kinachotuzunguka ni atoms 100% ? naanza kuamini life is forever ( maybe in different forms after you "die")
Created things can be destroyed.So life was not created?
Sasa freemadon na shetani wap na wap?Hakuna kifo ni mafundisho toka kwenye mahekalu ya freemason. Shetani anasema hakika hamtakufa
We are one. A life cycle of your ownMtoa mada BABU wa BABU yako kwa sasa yupp wapi? Au ndo ime transform energy to another form?
Unauhakika kwamba at the end mungu ata mdestroy shetan? Kasome ufunuo wa yohana alafu uje hapa?Mbona at the end Mungu atamdestroy shetani.
Shetani ajawahi mpenda mwanadamu,hana fadhila,anakutumia kisha anakuua
Kwann asimdestroy hali amesemaUnauhakika kwamba at the end mungu ata mdestroy shetan? Kasome ufunuo wa yohana alafu uje hapa?
Freemason na shetani ni SAwa na soda na coca cola wapi na wapi. Freemason ni nini na shetani ni nnSasa freemadon na shetani wap na wap?
Asipomdestroy biblia itakuwa ni kitabu cha uongoUnauhakika kwamba at the end mungu ata mdestroy shetan? Kasome ufunuo wa yohana alafu uje hapa?