Hakuna kifo, maisha ni milele

Life and death are The realm of eternity!
 
 
Yeah in different form ambayo ni mwenzie na funza.
 
izo dhahania mi uwa sizielewagi kabisa. mara Mungu na shetani wapo sehem moja na wanazungumza fresh tu, na wanatambishiana kuwa leo nimewapata wafuasi kadhaa mara kakosa wafuasi wachache,
Go read the Bible huku ukimuomba Mungu anayezungumziwa kwenye Bible, yaani Mungu aliyeziumba mbingu na nchi akueleweshe nini unasoma. hizo ambiguities zote zitaondoka. namna nyingine ni kuisoma hiyo Bible huku ukiuliza kwa wanaosoma kuhusu ambiguities na ukiwa na spirit ya kujifunza. utafahamu mengi
 
We undergo transformation.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Na pengine hakuna milele maisha ni kifo tuu..[emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]
 
Kwa hiyo earth na sun ndio only components za hii universe?!!


Hebu kasome hizo desa zako kwanza.
 
subiri ile siku unatolewa roho ndo utajua kua hamna au kifo kipo
 
Hii nchi inabidi watilie mkazo Sana kwenye elimu....especially mikoa waliokaa waarabu sana
 
Mbona at the end Mungu atamdestroy shetani.
Shetani ajawahi mpenda mwanadamu,hana fadhila,anakutumia kisha anakuua
Unauhakika kwamba at the end mungu ata mdestroy shetan? Kasome ufunuo wa yohana alafu uje hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…