Hakuna kitu kibaya kama kujihisi umeathirika HIV

Hakuna kitu kibaya kama kujihisi umeathirika HIV

Ivi kwanini uhatarishe afya yako kisa kitu ambacho hata Masaa 5 hayafiki? Aiseee
Nimecheka eti naiishi kama digi digi
Basi sawa

IMG-20190405-WA0009.jpg


IMG-20190405-WA0003.jpg


IMG-20190714-WA0049.jpg
 
Ila nimeshangaa sana response ya watu wa mikoani hawaogopi kabisa kupima, hasa Barmaids na Dada poa
Kupima ni jambo bora sana ingawa linahitaji ujasiri, hapa napofanyia kuna wale jamaa wa kupima kwa hiari huwa wanakuja kupima wafanyakazi, aisee response huwa ni very poor, kuna wale wengine unawahisi watakuwa salama lakini utashangaa hawana ujasiri kabisa mpaka unabaki kujiuliza kulikoni...
 
Mkuu pole sana, ila ni vizuri ukaenda kupima kujuwa afya yako.

Mimi niliwahi kutembea na wanawake wanaoishi na VVU bila kujuwa kwa muda tofauti.
1--Mmoja nilikuta vidonge vya VVU kwenye mkoba wake,
Mara tu baada ya kumaliza tendo.
Nilitumia kinga lakini ilipasuka wakati nakojowa.
2-- huyu wa pili niliuza mechi kwa makusudi ili nifaidi mautamu.
Mtoto wa chuo cha magogoni,,alikuwa mtamu kama usingizi wa alfajiri.
Na sikutembea nae Mara moja.
Nilikuwa nae zaidi ya mwezi kimahusiano,,pika pakua kwangu.
Kukojowa nakojolea ndani.

Baadae kuna msela wangu mmoja akanisanua kwamba huyo demu unayepiga kishaua wawili na hapo anatumia vidonge vya VVU.
Mama !!mama!!mama!!
Aisee nilifadhaika Sana.
Nikapiga chini.

Lakini nilijipa moyo kwamba hapa duniani hakuna mlinzi wa dunia,
Wote tutakufa tu.
Niliendelea kujipa moyo huku naoogopa kupima..

Nikisikia matangazo ya VVU ,,moyo wangu unaumia sana.

Niliendelea Kutumia kinga kwa wanawake wengine kama vile sijapata maambukizi yeyote.

Baada ya kuoa,,
mke wangu alipopata ujauzito ikalazimika tupimwe.
Mm niliogopa kupima nikasingizia nimesafiri.

Mke wangu alipopima majibu yalikuja NEGATIVE.

Nilibahatika kwenda ulaya nikapima ukimwi bado kwangu ni NEGATIVE.

Hapa nilipo nipo Saudia,,
nimepimwa vipimo vyote vya damu na mwili mzima..
tena kwenye hospital kubwa inayoaminika na kampuni.
Tena damu imetolewa mikono miwili kulia na kushoto,
Nimepimwa kifua,,damu tena blood analysis.
Still majibu ni NEGATIVE,,. Sina ugonjwa wowote.
Nipo mzigoni kwenye mawimbi ya bahari naelea.

Watu wengi wanaishi kwa hofu ya kuambukizwa VVU kwa macho.
Baadae kuanza kwenda hovyo na wanawake bila kinga kwa kujuwa wameathirika.
Kumbe huko wanapokwenda ndy wanauvaa ugonjwa ambapo mwanzo walikuwa salama.

Tusikimbilie kujihisi wagonjwa bila kupima ..

Namshukuru Mungu kwa kunilinda...

The same
Niliwah pitia situation kama hiyo mwaka uliopita
Yaan hata uarishe tu unaanza kuogopa
Kifupi unakuwa huna amani wala raha
Kujua afya ni vyema
Ila ile situation ya kusubiri majibu ni zaidi ya situation
 
Aisee kuna manzi nilipiga dry tena niliokota juliana siku zinavoenda namuona nywele zinanyonyoka yani zimebakia nusu kichwa ilinibidi nichukue maamuzi ya kupima na sasa mambo swari kabisa.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app

Bora wewe
Mwenzio nmekazana ku pamp kitobo

Nainua macho hivi naona kopo la arv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe alisahau kukificha
Nlipoondoka akajua nmeona akanpotezea mazima
Hatak msg wala calls akijua nmejua
Nkawa namtafuta ili kama kum campan asijue nmejua
 
Bora wewe
Mwenzio nmekazana ku pamp kitobo

Nainua macho hivi naona kopo la arv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe alisahau kukificha
Nlipoondoka akajua nmeona akanpotezea mazima
Hatak msg wala calls akijua nmejua
Nkawa namtafuta ili kama kum campan asijue nmejua
Kama yuko kwa dozi kukuambukiza ni ngumu
 
Bora wewe
Mwenzio nmekazana ku pamp kitobo

Nainua macho hivi naona kopo la arv[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe alisahau kukificha
Nlipoondoka akajua nmeona akanpotezea mazima
Hatak msg wala calls akijua nmejua
Nkawa namtafuta ili kama kum campan asijue nmejua
Daa hii noma, ulikuwa unatumia kinga, au ulikuwa unaenda kavu kavu??

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Najua sii mimi pekee ambaye nimeshakutana na hii hali ni wengi imewakuta sema tu unakuta tunaugulia kimya kimya.

Mwaka wa tatu huu nimekuwa nikiishi kama digidigi yaani hata nikipata malaria kidogo naanza kufikiria michezo michafu niliokuwa naicheza huko nyuma ,nasema au ndio dalili za HIV zimesha anza kujitokeza.

Unajua kuna watu huwa wanajiona exemptional kwenye mambo fulani fulani, ikiwemo na kupata HIV, yaani mtu anaamini HIV ipo kwaajili ya watu wengine,,so hata akifanya michezo hatarishi hawezi kubali kwenda kupima kwa kuhofia
majibu atakayo pata.

Wengi wa kundi hilo unakuta ni vijana miaka 18-30 ,unakuta wanakuwa na ugumu wa kupokea matokeo maana katika umri huo unakuta wanacho cha kupoteza. Wengi unakuta hawajaoa/kuolewa, wengine wako chuo, wengine bado wako kwa wazazi wao.

Unakuta mtu hospital hawezi kwenda sababu ya hofu, unakuta amejichimbia youtube au google kusoma symptoms za HIV siku akipata kuugua kidogo hofu inazidi kuongezeka.

Hapa naandika simple tu lakini hii hali ikikupata utaishi kwa shida sana, vijana walioko hatarini ni wale wapenda bata, night club, chuo maana wanakutana na watu wa aina tofauti tofauti.

Kuna matukio ambayo nilikuwa nayafanya kimazoea ambayo mpaka kesho najuta...Kuna siku nilitoka na manzi club mida ya saa 9 usiku tukapitia guest nikamtuma muhudu cndom akasema zimeisha uvumilivu ukanishinda nikapiga kavu.

Kuna ile uko bize unapump punde unahisi condom imepasuka na ikipasuka maana utamu unakolea unaendelea kukata miuno hii ni hatari sana.

Pia kuna ile mtu amekunywa pombe kali kama konyagi halafu kwenye gemu anavaa condom anapump wee wazungu hawaji anaamua kuvua au kupasua kwa makusudi amalize mapema alale hii nayo ni hatari.

Pia kuna wale pisi kali yaani ukimtathiminisha unasema bora nifee hii napiga kavu. Utakuja kulia na kusaga meno...

Hitimisho kama unaona huna kifua cha kupokea hilo janga play safe ndugu usije ishi kama nungu nungu kwa hofu na mashaka.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Pole sana boy,niliwai kubwa na huo mkasa nilishindwa hata kula kwa tabia zangu za kubadili pisi kila mara kitaa watu wakaanza kusambaza habari kuwa nimewakaa du nakuja kuzisikia nilichoka mwili na roho kibaya zaidi pisi zikaanza kunikwepa na wangine kunichana kwamba tarifa zilizopo kitaa nina chai basi bhana kupima nikawa siwezi nabaki kuulizia zile pisi nilizo zipitia kama zimesha kufa sometimes nilikuwa nazipigia sim na kuwaliza kama wanaumwa hata malaria kama vile doctor anavyo hoji mgonjwa ila siendi direct

Basi bhana siku moja niko zangu ofisini kwangu anakuja dada ananiambia eti Kuna pisi imepimwa na amekutwa POSITIVE kwenye kituo flani na katika mahojiano amenitaja mimi kuwa nipo kwenye list yake huyo Afisa akanishauri nipime ili wanipe msaada sikutaka kabisa alinichanganya zaidi nikajiona sina changu tena duniani

Ila muda ukapita miezi ikakatika nilikuja kupata pisi flani Hivi nikaamua kama vipi niivute iwe ndo wife,kwenye harakati za Ndoa pisi ikasema hatufanyi jambo hadi tupime kwa kuwa muda ulikwenda niliamua kwenda kupima mwenye chocho najikuta mtu safi sina hatia yani NEGATIVE basi tabasamu langu lilikuja na kujiona salama,
Nimeamua kutulia sitaki tena ujinga
 
Kuna mdau humu bolivia
Leo anakwenda kucheck na kupima
Ngoma, hebu na wewe fanya hivyo

Ova
 
Alooo Ukimwi unatafuna watu balaa....kwenye vifo 10 hospital, 9 ni AIDS
 
Back
Top Bottom