Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata


Lazima tunyooke.
Maana bila kitu hupatu mtu. Sio ndugu wala marafiki
 
Uzee haukimbiwi na wala mvi sio uzee.
Wapo watu wana 60 na hawana mvi na wapo vijana wana 30 wana mvi.

Muhimu ni kutokata tamaa ktk maisha..

Kila binadamu Mungu amemkadiria riziki yake.

Huwezi tenganisha uzee na mvi labda kama hujui maana ya uzee.

Wapo wanaowahi kuzeeka na wapo wanaochelewa ndio hicho unachokiona kuwa wengne wanawahi kuwa na mvi(kuzeeka) wengine wanachelewa
 
Huwezi tenganisha uzee na mvi labda kama hujui maana ya uzee.

Wapo wanaowahi kuzeeka na wapo wanaochelewa ndio hicho unachokiona kuwa wengne wanawahi kuwa na mvi(kuzeeka) wengine wanachelewa
Mkuu kuna watu wanatoka mvi wakiwa under 30 je nao ni wazee?
 
Mkuu kuna watu wanatoka mvi wakiwa under 30 je nao ni wazee?

Miaka 30 ni uzee ndio mkuu.

Labda uniambie wale ambao kuanzia miaka 10-20 wana mvi ndio tutasema ni mvi za kurithi na hao nimeshawahi kuwaona.
Lakini miaka 30 sijui 25 ni uzee.
Wapo wanaowahi kuzeeka.
Kuzeeka mapema pia ni ishu ya kijenetiki.
Muda huohuo kuna wanamiaka 50 wanachelewa kuzeeka yaani hawana zile dalili za uzee kama mvi au upara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…