Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

Hakuna kitu kinaleta Stress kama kuota Mvi au upara halafu bado hujajipata

Wewe jiulize ni waafrika wangapi umewaona wamejipata wakiwa na miaka zaidi ya 45, lazima uongelee mambo halisi yaliyopo kwenye ground sio narrative

Hajui hata anazungumzia kitu gani.
Yeye mwenyewe anajua life expectancy ya mbongo ni 67. Alafu ujipate na miaka 50. Sio pouwa hapo.

Huko Ulaya life expectancy Yao ni miaka 78 mpaka 90 huko. Mtu akijipata na miaka 50 anamiaka 40 mbele ya kuishi
 
Et nywel zimenyonyoka kama mbwakoo, Amehlo nitakutazamaje mimi tena boss wangu na ninadhalilishwa hivi !!.

Ujue vijana msio na uzoefu wa maisha (mnayajua maisha kwa kuandika andika tu) mnafikiri kuna tofaut kubwa sana kati ya 25's -35's.

The difference is sooo minor.. tulia uone sasa. The gap too short..leo uko 25's ndio wengine mmetola toka chuo, ghafla tu unajikuta 35.. unajikita seriously umeanza kupambana at 30, boooom!! 35 hii hapa. Usicheke cheke hapa dogo Intelligent businessman ..
 
Et nywel zimenyonyoka kama mbwakoo, Amehlo nitakutazamaje mimi tena boss wangu na ninadhalilishwa hivi !!.

Ujue vijana msio na uzoefu wa maisha (mnayajua maisha kwa kuandika andika tu) mnafikiri kuna tofaut kubwa sana kati ya 25's -35's.

The difference is sooo minor.. tulia uone sasa. The gap too short..leo uko 25's ndio wengine mmetola toka chuo, ghafla tu unajikuta 35.. unajikita seriously umeanza kupambana at 30, boooom!! 35 hii hapa. Usicheke cheke hapa dogo Intelligent businessman ..

😄😄
Usilie Mkuu.

Miaka 10 ni hao kubwa sana kiumri.
Miaka kumi yanaweza kutokea mambo mengi mno yaani mengi sana.

Tofauti ya miaka 25 na 35 ni kubwa sana.
Kuanzia kimwili, kiakili na kihisia.

Miaka 25 ni kijana mdogo kabisa. Miaka 35 ni kijana anayeingia utu uzima mwenye majukumu.
Sasa tatizo linaanzia upo miaka 35 alafu usiwe tofauti na wa miaka 25 ndio mtoto hapo ulipo.
 
Nakuelewa kiongozi
ukichanganya na yale matarajio kuwa ukiwa 20s mpaka 30s utakua mtu flani halafu maisha yanakwambia rudisha mpira mazoezini cha ndimu wakati wenzio washachukua kombe la club bingwa na wengine wameenda majuu wana UEFA inauma kishenzi! Lazima uwe mnyonge ukiwaza umekuja duniani kuujaza ukoo ibrahim unaskia kitu kama kiazi kipo kwenye koo unakimeza
 
Wewe jomba acha kupanik. Maisha hayana kanuni maalum hasa huku Afrika. Kijana anamaliza chuo akiwa na miaka 24 huku mkononi akiwa na invoice ya deni la HESLB. Unadhani itamchukua miaka mingapi kujipata? Sio rahisi kama unavyodhani. Cha muhimu ni kupambana kwanza kumudu zile basic needs. Mambo mengine yote ni majaliwa ya Mungu. Pia kusema kukimbilia kuoa ni upuuzi wa hali ya juu. Wengi waliofanya hivyo wameishia kutelekeza watoto kwa bibi zao. Mtibeli acha kujifananisha na watu wengine. Kila mtu na riziki yake. Mvi na kipara ni mambo tu ya maumbile.. kuna mdogo wangu hata 30yrs hajafikisha ila ana mvi za kutosha.
 
Unae ongea narrative ni wewe, unataka kutuaminisha kuwa hakuna wabongo wanao tusua maisha katika 45, 50?

Shida Unazungumzia Exceptional.
Ni sawa useme kwani hakuna wanawake wenye miaka 80 waliozaa kisa unajua kisa ya Sarah MKE WA Ibrahim.
Hapa tunazungumzia ishu ya uhalisia.

Ukisoma hata matangazo ya Ajira kaangalie kigezo cha umri kinasemaje kisha uje hapa uendelee na ubishi wako.

Alafu pia kwenye suala la nguvu za mwili na akili huwezi fananisha mtu mwenye miaka 30 na mwenye miaka 50. Wa miaka 45 na 50 nguvu zinaisha tofauti na huyu kijana.

Hizo elimu mmeenda kusomea ujinga?
 
Nakuelewa kiongozi
ukichanganya na yale matarajio kuwa ukiwa 20s mpaka 30s utakua mtu flani halafu maisha yanakwambia rudisha mpira mazoezini cha ndimu wakati wenzio washachukua kombe la club bingwa na wengine wameenda majuu wana UEFA inauma kishenzi! Lazima uwe mnyonge ukiwaza umekuja duniani kuujaza ukoo ibrahim unaskia kitu kama kiazi kipo kwenye koo unakimeza

Automatically unajikuta kundi la introvert kilazima😂😂
 
Hizo siyo mvi za uzee ni mtindo wa maisha tu na wengine za kurithi.

Ukiwa unanyowa Ndevu Kwa magic tarajia hilo kidevu kujaa mvi.
Aisee kuna kipindi kinyozi alinishawishi kutumia magic kwa sababu nikinyolea mashine natokwa vipele balaa. Huyo aliniharibu kidevu, ila kichwa nacho naona sio za kuhesabu tena🤣
 
Wewe jomba acha kupanik. Maisha hayana kanuni maalum hasa huku Afrika. Kijana anamaliza chuo akiwa na miaka 24 huku mkononi akiwa na invoice ya deni la HESLB. Unadhani itamchukua miaka mingapi kujipata? Sio rahisi kama unavyodhani. Cha muhimu ni kupambana kwanza kumudu zile basic needs. Mambo mengine yote ni majaliwa ya Mungu. Pia kusema kukimbilia kuoa ni upuuzi wa hali ya juu. Wengi waliofanya hivyo wameishia kutelekeza watoto kwa bibi zao. Mtibeli acha kujifananisha na watu wengine. Kila mtu na riziki yake. Mvi na kipara ni mambo tu ya maumbile.. kuna mdogo wangu hata 30yrs hajafikisha ila ana mvi za kutosha.

Mimi sijilinganishi Mkuu.
Najaribu kuelezea situation ninayoiona mtaani.
Ni kweli maisha ni majaliwa kwa asilimia 75%
 
Sasa tatizo linaanzia upo miaka 35 alafu usiwe tofauti na wa miaka 25 ndio mtoto hapo ulipo.
Exactly..msisitizo wangu ni kwamba , mazingira kwa asilimia kubwa hayampi advantagw huyu mtoto wa miaka 25 afanikiwe kirahis ndio maana wengi hujikuta 30 hio hapa na bado hawajafanya kitu.

Mi wala silii mkuu, mwez may tu hapo nakunja 35 yangu kiroho safiii na sina majuto nayo hata chembe. Hata chembe yan japo sijafanikiwa bado ila siko huko unakokuzungumzia.. japo nimeku mind sana hapo kwenye kipara..
 
Et nywel zimenyonyoka kama mbwakoo, Amehlo nitakutazamaje mimi tena boss wangu na ninadhalilishwa hivi !!.

Ujue vijana msio na uzoefu wa maisha (mnayajua maisha kwa kuandika andika tu) mnafikiri kuna tofaut kubwa sana kati ya 25's -35's.

The difference is sooo minor.. tulia uone sasa. The gap too short..leo uko 25's ndio wengine mmetola toka chuo, ghafla tu unajikuta 35.. unajikita seriously umeanza kupambana at 30, boooom!! 35 hii hapa. Usicheke cheke hapa dogo Intelligent businessman ..
Msi tutishe kuhusu maisha, mlicho tuzidi ni simu Kali za kupigia Picha.
👉Na madem zenu wajaza filter, ili wafanane na Dem wa jigga 😄🤣

Madogo tuna focus sio kitoto, na hatu bweteki hata tukiwa na Prado txl au kwa ngoko fresh tu Ivan Stepanov
 
Exactly..msisitizo wangu ni kwamba , mazingira kwa asilimia kubwa hayampi advantagw huyu mtoto wa miaka 25 afanikiwe kirahis ndio maana wengi hujikuta 30 hio hapa na bado hawajafanya kitu.

Mi wala silii mkuu, mwez may tu hapo nakunja 35 yangu kiroho safiii na sina majuto nayo hata chembe. Hata chembe yan japo sijafanikiwa bado ila siko huko unakokuzungumzia.. japo nimeku mind sana hapo kwenye kipara..

😂😂😂
Mkuu nisamehe sana.
Muhimu ukiwa na shughuli yako kipara sio tatizo lakini usiombe ukawa na Upara au mvi alafu bado hujui kwenye maisha nini ufanye. Na uwe Jobless Hakuna rangi utaacha kuona.
 
Nakuelewa kiongozi
ukichanganya na yale matarajio kuwa ukiwa 20s mpaka 30s utakua mtu flani halafu maisha yanakwambia rudisha mpira mazoezini cha ndimu wakati wenzio washachukua kombe la club bingwa na wengine wameenda majuu wana UEFA inauma kishenzi! Lazima uwe mnyonge ukiwaza umekuja duniani kuujaza ukoo ibrahim unaskia kitu kama kiazi kipo kwenye koo unakimeza
Hata usichanganyikiwe mkuu. Tatizo wengi wanahangaika kutafuta mafanikio kama kipaumbele wakisahau kwamba mafanikio ni just a product.. ni matokeo tu , results from just any serious process.
 
Exactly..msisitizo wangu ni kwamba , mazingira kwa asilimia kubwa hayampi advantagw huyu mtoto wa miaka 25 afanikiwe kirahis ndio maana wengi hujikuta 30 hio hapa na bado hawajafanya kitu.

Mi wala silii mkuu, mwez may tu hapo nakunja 35 yangu kiroho safiii na sina majuto nayo hata chembe. Hata chembe yan japo sijafanikiwa bado ila siko huko unakokuzungumzia.. japo nimeku mind sana hapo kwenye kipara..
Kipara ka Sahani ya bati😄😄🤒
 
Back
Top Bottom